Na watu walivyo komaa imeonyesha pia watu wana hamu ya kusikiliza sera siyo Fiesta ya CCM...Gagnija Mjengwa kama ataweka picha zake za zamani za kale we mwache tu. Ila nadhani hapa leo hakutia timu kabisa. Katikati ya mkutano mvua iliyonyesha imeonesha baraka kwa mkutano huu.
wakuu @Mjengwa ni Yule mwenye blog uchwara?Gagnija Mjengwa kama ataweka picha zake za zamani za kale we mwache tu. Ila nadhani hapa leo hakutia timu kabisa. Katikati ya mkutano mvua iliyonyesha imeonesha baraka kwa mkutano huu.
wakuu @Mjengwa ni Yule mwenye blog uchwara?
siyo huyu alianzisha thread ya kumponda Vicent NyerereMjenga ni nani? Au ni Yule mwenye blog uchwara?
Katibu wa wazee mkoa wa Arusha ambae ni mwazilishi wa TAA, Tanu na baadae CCM pia ni mwanzilishi wa CHADEMA amewaambia vijana kuwa yeye anaifaahamu CCM kuliko hata mavi yake kuwa CCM imewafanya watanzania kuwa ni mtaji wao nabado wanaendelea kumbebeleza arudi CCM yeye anawaambia hawezi kula maharage kisha akisha yanya ayatafune tena...
Imefanikiwa na mvua?
khaaa! Mbona katumia maneno makali?
Mjenga ni nani? Au ni Yule mwenye blog uchwara?
khaaa! Mbona katumia maneno makali?
.....nimemuona kamanda.... mstari wa mbele....G. LEMA....akifyatua.....heavy missiles... mfululizo nazani ......yalikotua .......majangili.... wanatafutana..........
inaanza jan 2013..