Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,441
- 25,582
Picha ni kitu muhimu sana mkuu...
Picha ni kitu muhimu sana mkuu...
Najaribu kuupload mkuu..
Ole Millya amesema chadema imejipanga kuhakikisha watu wanajiunga na chadema na wana jiandikishwa kwenye daftari la kudumu hii kampeni itaanza mapema mwakani ambapo kila sehemu ya mkusanyiko wa watu kutakuwa na sehemu ya kujisajiri na chadema ambao watu watawaingiza kwenye system ambayo itatumika kujulishana na kukumbusha mambo mbali mbali..
Mkuu hiki kitu nimeipenda sana kuwa na rekodi ya wanachama wako naomba ianze mapema.
Thanks. Kuna mjinga hapa anajiita Mjenga atakuja kusema watu walikuwa kiduchu.View attachment 74371
hatimae nimefanikiwa kurusha hii
Thanks. Kuna mjinga hapa anajiita Mjenga atakuja kusema watu walikuwa kiduchu.