Kama vyama ni ukabila na ukanda, kwa nini na nyinyi msianzishe cha kabila lenu?
Kwa namna yeyote ccm wasingekubali chadema washinde hata angekuwa ni mtu mzuri kiasi gani!!! Wala hakuna la kulaumiana!
CDM hawawezi kuwa na Mwanachama Makalio kama wewe, labda uniambie kwamba wewe ni pandikizi ndani ya CDM. Si Komu tu, hata CDM wangemsimamisha Obama, mbele ya CCM asingepenya! Anza kutumia akili za kichwani kufikiri, Pandikizi wee!!!Maneno ya mkosaji...mm najua huwezi simama nilipo..kwanza upo mbali sana na jicho langu lilipo juu ya siasa za chama changu cha cdm.
Kwanini CDM walipeleka mgombea mmoja tu?Hii tabia ya watu kuongelea ukaskizini ni tabia ya kijinga sana..........Mbona hata huyo aliyeshinda NCCR-Mageuzi(Ms,Kessy) katoka kaskazini
Tuangalie uwezo wa mtu tuache majungu.Siasa za aina hii ni maji taka period!
FYI Perpetua kessy ni mchagga!!
Tuntemeke apewe msamaha!
Komu hakuwa na sifa na ameboa aibu leo,
Yaani katudhalilisha chama