Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,500
Mnyika naomba usikubali watu walioshindwa kuitoa CCM madarakani kuanzia mwaka , 1995 kutuingilia katika mipango yetu yakuifuta CCM.
Mh, Mbowe tunaomba ukae pembeni, Bila kumsahau, Lipumba na Zitto kabwe na Maalimu Seif.
Tanzania Rais ni Taasisi inayochaguliwa na mfumo Wananchi niwawakilishi tu ila kwenye maamuzi hawapo.
Demokrasia ni watu. Hivyo lazima tutumie mbinu za kisasa kuitoa CCM, Mbowe na lipumba, Mbatia na Seif mmekosa mbinu mpya tunaomba mtupishe jamani.
Mh, Mbowe tunaomba ukae pembeni, Bila kumsahau, Lipumba na Zitto kabwe na Maalimu Seif.
Tanzania Rais ni Taasisi inayochaguliwa na mfumo Wananchi niwawakilishi tu ila kwenye maamuzi hawapo.
Demokrasia ni watu. Hivyo lazima tutumie mbinu za kisasa kuitoa CCM, Mbowe na lipumba, Mbatia na Seif mmekosa mbinu mpya tunaomba mtupishe jamani.