CHADEMA lamba kiatu changu, la sivyo mtanikoma!

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Jul 28, 2008
2,502
739
Wandugu, hivi JK kikwete alikuwa anatoa ujumbe gani jana wakati wa hotuba yake? alisema hivi: Hao kina chadema (waliotoka), watatoka na watarudi, mimi ndiye rais wao, wakitaka kitu chochote kifanyike ni mimi wataniomba niwafanyie"

kwa kifupi alikuwa anamaanisha kuwa, chadema kwenye majimbo yao, wasipopiga goti kwake hatawasaidia, kwasababu lazima wakapige goti kwake ili wafanikiwe kwenye majimbo yao, that means kama hawafanyi hivyo, HATATUMA MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YOTE YA CHADEMA. Hii ina maana gani? kwani yeye amewekwa pale ili awe mfalme? kwamba bila kikwete hakuna maendeleo yoyote yatakayofanyika kwenye majimbo yetu?, na, hivi aliongea akiwa anajua au alipitiwa....kwamba wakitaka chochote kifanikiwe ktk majimbo yao lazima waje kwake....kwahiyo kikwete ndo mwamuzi wa mambo yote hapa tz, hakuna mfumo au organ yoyote itakayofanya hivyo....ametoa msg gani hapa kwa majimbo ya chadema?

hivi rais anayo madaraka makubwa kiasi hiki?
 
Huu ndo upuuzi wa katiba unaompa Rais mamlaka zaidi hata ya mume ndani ya nyumba.

Upuuzi mtupu na hakuna wa kumuomba bali atatekeleza.

Asipotekeleza naamini wabunge wa CHADEMA ni wakomavu, sheria zipo baba.

KIKWETE HATOI FEDHA ZA MAENDELEO YA BONGO MIFUKONI MWAKE, ni mfumo na utaratibu ndio utakaotoa.

AKIKIUKA NA HILI, BASI NITAJUA SALMA NA RIDHIWANI NDIO WANAOENDESHA BONGO
 
iyo kauli na mimi niliisikia jana. jimbo langu ni la chadema hivyo nikastuka kidogo kulingana na what was going on bungeni kwa wabunge wangu wa chadema...Rev.msigwa, you know wat I am talking about.
 
eeeeh yani kuingia kwa jk madarakani ni kama sumu inayoiua tanzania taratibu
 
hahaha, hakusema lamba viatu jamani, ila alisema kuwa, wataenda watarudi, na wakitaka chochote wafanikiwe watarudi kwangu mimi mwenyewe, mimi ndo rais.
 
Wandugu, hivi JK kikwete alikuwa anatoa ujumbe gani jana wakati wa hotuba yake? alisema hivi: Hao kina chadema (waliotoka), watatoka na watarudi, mimi ndiye rais wao, wakitaka kitu chochote kifanyike ni mimi wataniomba niwafanyie"

kwa kifupi alikuwa anamaanisha kuwa, chadema kwenye majimbo yao, wasipopiga goti kwake hatawasaidia, kwasababu lazima wakapige goti kwake ili wafanikiwe kwenye majimbo yao, that means kama hawafanyi hivyo, HATATUMA MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YOTE YA CHADEMA. Hii ina maana gani? kwani yeye amewekwa pale ili awe mfalme? kwamba bila kikwete hakuna maendeleo yoyote yatakayofanyika kwenye majimbo yetu?, na, hivi aliongea akiwa anajua au alipitiwa....kwamba wakitaka chochote kifanikiwe ktk majimbo yao lazima waje kwake....kwahiyo kikwete ndo mwamuzi wa mambo yote hapa tz, hakuna mfumo au organ yoyote itakayofanya hivyo....ametoa msg gani hapa kwa majimbo ya chadema?

hivi rais anayo madaraka makubwa kiasi hiki?
Hili ndio tatizo la serikali nyingi za kiafrika na viongozi wake, ndio maana wanang'ang'ania madaraka maana wanajua wo ndilo kila kitu.
JK ni mmoja wao ndio maana anaongea kwa kujiamini kana kwamba pesa za maendeleo anatoa mifukoni mwake, aache ushamba na aelewe nini maana ya uongozi na kiongozi mwadilifu yuko vipi.

Alikuwa anaua soo tu pale, hivyo hana ubavu huo.
 
Wandugu, hivi JK kikwete alikuwa anatoa ujumbe gani jana wakati wa hotuba yake? alisema hivi: Hao kina chadema (waliotoka), watatoka na watarudi, mimi ndiye rais wao, wakitaka kitu chochote kifanyike ni mimi wataniomba niwafanyie"

kwa kifupi alikuwa anamaanisha kuwa, chadema kwenye majimbo yao, wasipopiga goti kwake hatawasaidia, kwasababu lazima wakapige goti kwake ili wafanikiwe kwenye majimbo yao, that means kama hawafanyi hivyo, HATATUMA MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YOTE YA CHADEMA. Hii ina maana gani? kwani yeye amewekwa pale ili awe mfalme? kwamba bila kikwete hakuna maendeleo yoyote yatakayofanyika kwenye majimbo yetu?, na, hivi aliongea akiwa anajua au alipitiwa....kwamba wakitaka chochote kifanikiwe ktk majimbo yao lazima waje kwake....kwahiyo kikwete ndo mwamuzi wa mambo yote hapa tz, hakuna mfumo au organ yoyote itakayofanya hivyo....ametoa msg gani hapa kwa majimbo ya chadema?

hivi rais anayo madaraka makubwa kiasi hiki?

Nilishangaa sana, JK aliwezaje kusema kitu kama hiki. Kwani anafikiri asipopeleka maendeleo anakua anaikomoa Chadema au Wananchi? Na anadhani kwa kufanya hivyo alivyosema anadhani ndio anaijenga CCM au ndio anaichimbia Kaburi la moja kwa moja?
I think he should think twice about what he said.
 
kauli hiyo mimi ilinistua kwakweli, manake mbunge wangu ni Rv.msigwa pale iringa...sasa nikasema duh, jamaa anajiamini nini kuongea hivyo, na ninasubiri tu nione atakachokifanya ktk majimbo ya chadema.
 
Mwacheni afanye ujinga ili amalizwe vizuri kwa knock out hakuna haja ya kumwamsha huyo, bado amelala mwacheni alale, atakapo amka treni imekwisha ondoka. . . . kalagabaho !
 
eeeeh yani kuingia kwa jk madarakani ni kama sumu inayoiua tanzania taratibu

Hatatuua sisi watanzania, (CHADEMA) bali ni sumu inayouwa wana CCM na CCM yao wenyewe, halo haloooooooooooooooo.
 
Wandugu, hivi JK kikwete alikuwa anatoa ujumbe gani jana wakati wa hotuba yake? alisema hivi: Hao kina chadema (waliotoka), watatoka na watarudi, mimi ndiye rais wao, wakitaka kitu chochote kifanyike ni mimi wataniomba niwafanyie"

kwa kifupi alikuwa anamaanisha kuwa, chadema kwenye majimbo yao, wasipopiga goti kwake hatawasaidia, kwasababu lazima wakapige goti kwake ili wafanikiwe kwenye majimbo yao, that means kama hawafanyi hivyo, HATATUMA MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YOTE YA CHADEMA. Hii ina maana gani? kwani yeye amewekwa pale ili awe mfalme? kwamba bila kikwete hakuna maendeleo yoyote yatakayofanyika kwenye majimbo yetu?, na, hivi aliongea akiwa anajua au alipitiwa....kwamba wakitaka chochote kifanikiwe ktk majimbo yao lazima waje kwake....kwahiyo kikwete ndo mwamuzi wa mambo yote hapa tz, hakuna mfumo au organ yoyote itakayofanya hivyo....ametoa msg gani hapa kwa majimbo ya chadema?

hivi rais anayo madaraka makubwa kiasi hiki?

Huko ni kutokujua kazi za Mbunge; kazi ya Mbunge sio kwenda kwa Rais kuomba maendeleo kwenye jimbo lake - 1. kuisimamia, kuikosoa na kuiadabisha serikali ili itimize majukumu yake, kufikisha mahitaji ya wananchi kwa serikali kupitia bungeni, na kutunga sheria. Mbona jimbo la karatu lina maendeleo makubwa wakati lilikuwa chini ya Chadema tangu 1995!!!!!!!

Hivi ni namna gani wabunge wa Chadema wataenda kwa Rais kuomba chochote kwa ajili ya wananchi? Kwa hiyo kama barabara inajengwa na kupitia Ubungo mfano ile ya Jangwani mpaka Ubungo maziwa itaishia pale linapoanza jimbo la ubungo; au ile ya Ali Hassan Mwinyi itasitishwa kwa sababu iko ndani ya jimbo la kawe?

Jamani tusome vizuri kazi za wabunge kwenye katiba na kanuni za bunge hautaona sehemu ambayo Rais anamwajibisha mbunge bali mbunge ndio anaweza kumwondoa Rais madarakani!!!!!!!!
 
kwani mikoa na majimbo ambayo huchagua ccm miaka nenda rudi wana nini cha mno cha kujivunia? Tazama lindi, mtwara, tabora n.k lakini tazama kilimanjaro amabyo ni chimbuko la wapinzani kila mwaka wa uchaguzi lami, umme, na maji safi ya bomba mapaka vijijini.

Tazama temeke kabla ya mwaka 1996 kumchgua mreme kuwa mbunge barabar zilikuwa maandaki- leo hii baada ya kubadilishana ccm na waopinzani kuanzia ngazi za serikali za mitaa hadi ubunge lao hii temeke lami tupu, maji ya kumwaga n.k
.

wilaya ya kinondoni tulikuwa tunajitia wajanja kila mwaka kuchagua ccm ndio wakatuponda kabisa kimaendeleo.
 
Huko ni kutokujua kazi za Mbunge; kazi ya Mbunge sio kwenda kwa Rais kuomba maendeleo kwenye jimbo lake - 1. kuisimamia, kuikosoa na kuiadabisha serikali ili itimize majukumu yake, kufikisha mahitaji ya wananchi kwa serikali kupitia bungeni, na kutunga sheria. Mbona jimbo la karatu lina maendeleo makubwa wakati lilikuwa chini ya Chadema tangu 1995!!!!!!!

Hivi ni namna gani wabunge wa Chadema wataenda kwa Rais kuomba chochote kwa ajili ya wananchi? Kwa hiyo kama barabara inajengwa na kupitia Ubungo mfano ile ya Jangwani mpaka Ubungo maziwa itaishia pale linapoanza jimbo la ubungo; au ile ya Ali Hassan Mwinyi itasitishwa kwa sababu iko ndani ya jimbo la kawe?

Jamani tusome vizuri kazi za wabunge kwenye katiba na kanuni za bunge hautaona sehemu ambayo Rais anamwajibisha mbunge bali mbunge ndio anaweza kumwondoa Rais madarakani!!!!!!!!
hivi pale alipokua anawasema wabunge waliotoka nje, alisema nini, ni kweli alisema kuwa chadema watarudi tu kwake? tone yake ya sauti ilikuwaje, alikuwa anamaanisha nini? nafikiri mada hii inaongelewa kutokana na maneno aliyoongea mh.rais wetu, sasa kama ni kumfundisha mtu kujua kazi za wabunge, akaambiwe yeye aliyetamka hiyo kauli kule bungeni...au siyo ndugu yangu?...mimi nilisikia, nafikiri mtoa mada hapa ameongeza chumvi au ameongea kwa lugha nyepesi akimaanisha alichokuwa anamaanisha rais...ila mimi pia sikumwelewa alikuwa anataka kumaanisha nini pale jana.
 
Wandugu, hivi JK kikwete alikuwa anatoa ujumbe gani jana wakati wa hotuba yake? alisema hivi: Hao kina chadema (waliotoka), watatoka na watarudi, mimi ndiye rais wao, wakitaka kitu chochote kifanyike ni mimi wataniomba niwafanyie"

kwa kifupi alikuwa anamaanisha kuwa, chadema kwenye majimbo yao, wasipopiga goti kwake hatawasaidia, kwasababu lazima wakapige goti kwake ili wafanikiwe kwenye majimbo yao, that means kama hawafanyi hivyo, HATATUMA MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YOTE YA CHADEMA. Hii ina maana gani? kwani yeye amewekwa pale ili awe mfalme? kwamba bila kikwete hakuna maendeleo yoyote yatakayofanyika kwenye majimbo yetu?, na, hivi aliongea akiwa anajua au alipitiwa....kwamba wakitaka chochote kifanikiwe ktk majimbo yao lazima waje kwake....kwahiyo kikwete ndo mwamuzi wa mambo yote hapa tz, hakuna mfumo au organ yoyote itakayofanya hivyo....ametoa msg gani hapa kwa majimbo ya chadema?

hivi rais anayo madaraka makubwa kiasi hiki?


mipasho ndo kawaida yake...
 
Wandugu, hivi JK kikwete alikuwa anatoa ujumbe gani jana wakati wa hotuba yake? alisema hivi: Hao kina chadema (waliotoka), watatoka na watarudi, mimi ndiye rais wao, wakitaka kitu chochote kifanyike ni mimi wataniomba niwafanyie"

kwa kifupi alikuwa anamaanisha kuwa, chadema kwenye majimbo yao, wasipopiga goti kwake hatawasaidia, kwasababu lazima wakapige goti kwake ili wafanikiwe kwenye majimbo yao, that means kama hawafanyi hivyo, HATATUMA MAENDELEO KWENYE MAJIMBO YOTE YA CHADEMA. Hii ina maana gani? kwani yeye amewekwa pale ili awe mfalme? kwamba bila kikwete hakuna maendeleo yoyote yatakayofanyika kwenye majimbo yetu?, na, hivi aliongea akiwa anajua au alipitiwa....kwamba wakitaka chochote kifanikiwe ktk majimbo yao lazima waje kwake....kwahiyo kikwete ndo mwamuzi wa mambo yote hapa tz, hakuna mfumo au organ yoyote itakayofanya hivyo....ametoa msg gani hapa kwa majimbo ya chadema?

hivi rais anayo madaraka makubwa kiasi hiki?

Hakuna shida, wabunge wa CHADEMA endapo watawakatalia migawo yoyote ambayo ni halali yetu mje mtuambie, adhabu yao sisi tunaijua
 
Back
Top Bottom