Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
Kumtambua adui yako ni 50% ya kumshinda, kutambua mbinu ya adui yako ni 75% ya kushinda na ilobaki ni juhudi ili ufanikishe ushindi wako. CDM isikae ikajidanganya na Peoples Power bila kuwa na mbinu za kuitunza na kuiongoza nguvu hiyo. Imani yangu ni kwamba CDM ishaeleweka sana mijini ila vijijini hawajui huyo ndio mnyama gani mkubali msikubali, ipo haja ya kusoma alama za nyakati. CCM kila siku tunasema hawajui kusoma alama za nyakati, ukweli ni kwamba wanajua tena sana kabisa.
Hawa wanazisoma. Sisi CDM tunatakiwa tu kuimarisha chama vijijini. Haya tunayasema. CCM nao wako macho wanajua CDM inataka kuwanyang'anya tonge, hawawezi kukubali kirahisi hivi. Miaka ilobaki ni miatu tu. Je tuko tayari kuingiza wabunge wengi bungeni huku nafasi ya raisi ikibaki na Magamba?
Mzaha mzaha utatumbua usaha soon! Vijana wengi wanajua Peoples Power maana yake maandamano na matumizi ya marungu, fimbo nk bila akili. Kumbe maana yake ni kwamba kwa mujibu wa Katika chokambaya ya Tanzania ibara ya 8, mamlaka ya nchi yako kwa wananchi wenyewe na serikali ipo kama msimamizi tu. Hapa haimanishi mimi Hossan naweza kumwambia ****** 'haloo unajua mimi ndio bosi wako, hifai bwana umekuwa mkwaree sana aisee' ujue utafungwa hadi segerea ibomoke. Dola imeshikwa na CCM na ndio maana hayo mamlaka ya wananchi hakuna, kama yapo iweje sasa kila siku ni kulalama tu vijiweni, upuuzi.
Hawa wanazisoma. Sisi CDM tunatakiwa tu kuimarisha chama vijijini. Haya tunayasema. CCM nao wako macho wanajua CDM inataka kuwanyang'anya tonge, hawawezi kukubali kirahisi hivi. Miaka ilobaki ni miatu tu. Je tuko tayari kuingiza wabunge wengi bungeni huku nafasi ya raisi ikibaki na Magamba?
Mzaha mzaha utatumbua usaha soon! Vijana wengi wanajua Peoples Power maana yake maandamano na matumizi ya marungu, fimbo nk bila akili. Kumbe maana yake ni kwamba kwa mujibu wa Katika chokambaya ya Tanzania ibara ya 8, mamlaka ya nchi yako kwa wananchi wenyewe na serikali ipo kama msimamizi tu. Hapa haimanishi mimi Hossan naweza kumwambia ****** 'haloo unajua mimi ndio bosi wako, hifai bwana umekuwa mkwaree sana aisee' ujue utafungwa hadi segerea ibomoke. Dola imeshikwa na CCM na ndio maana hayo mamlaka ya wananchi hakuna, kama yapo iweje sasa kila siku ni kulalama tu vijiweni, upuuzi.