Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Wakuu , Wahenga walishasema KIZURI KULA NA NDUGUYO , Hakika Chadema Kyela kumekucha !
Muda huu uzinduzi wa kumnadi Mgombea udiwani Kata ya Mwanganyanga Kamanda Alfred Kaniki ndio umepamba moto , umati ni mkubwa mno kuliko matarajio na kuna kila dalili uwanja kuzidiwa , labda nitoe siri tu kwamba Mh Kaniki ndiye diwani mtarajiwa wa kata hii .
Shukrani kuu iende kwa Chadema kanda ya Nyasa kwa kuwezesha uzinduzi wa kishindo na kumtuma Katibu wa Kanda Mh Masonga kuhudhuria .
Mungu ibariki Chadema .
Muda huu uzinduzi wa kumnadi Mgombea udiwani Kata ya Mwanganyanga Kamanda Alfred Kaniki ndio umepamba moto , umati ni mkubwa mno kuliko matarajio na kuna kila dalili uwanja kuzidiwa , labda nitoe siri tu kwamba Mh Kaniki ndiye diwani mtarajiwa wa kata hii .
Shukrani kuu iende kwa Chadema kanda ya Nyasa kwa kuwezesha uzinduzi wa kishindo na kumtuma Katibu wa Kanda Mh Masonga kuhudhuria .
Mungu ibariki Chadema .