MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Katika hali inayoonesha watanzania kuchoshwa na ubabaishaji wa Chama Tawala CCM, Watu mbalimbali mitaa ya Tanga wameendelea kukumbuka machungu waliyofanyiwa na CCM hasa kipindi cha miaka hii mitano ya JK.
Nimwakuta akina mama wakimzodoa mwenzao kuwa "hana lolote, anakuwa kama hajawahi kwenda sokoni, deci nayo yeye alikula nini" ni baada ya huyo mama kuvaa scafu ya ccm. alilazimika kushuka kabla ya kufika.
waliendelea kusimulia machungu mengi sana. Nimefurahi kuona kuwa wanaelewa nchi inakwenda wapi.
Kimsingi Chadema imeonesha kuwa itawaletea tumaini jipwa.
SLAA WAHI IKULU LETA MAENDELEO:israel:
Nimwakuta akina mama wakimzodoa mwenzao kuwa "hana lolote, anakuwa kama hajawahi kwenda sokoni, deci nayo yeye alikula nini" ni baada ya huyo mama kuvaa scafu ya ccm. alilazimika kushuka kabla ya kufika.
waliendelea kusimulia machungu mengi sana. Nimefurahi kuona kuwa wanaelewa nchi inakwenda wapi.
Kimsingi Chadema imeonesha kuwa itawaletea tumaini jipwa.
SLAA WAHI IKULU LETA MAENDELEO:israel: