Elections 2010 CHADEMA kweli Mkombozi Tanzania- Akina mama

MTWA

JF-Expert Member
Aug 5, 2009
1,166
166
Katika hali inayoonesha watanzania kuchoshwa na ubabaishaji wa Chama Tawala CCM, Watu mbalimbali mitaa ya Tanga wameendelea kukumbuka machungu waliyofanyiwa na CCM hasa kipindi cha miaka hii mitano ya JK.
Nimwakuta akina mama wakimzodoa mwenzao kuwa "hana lolote, anakuwa kama hajawahi kwenda sokoni, deci nayo yeye alikula nini" ni baada ya huyo mama kuvaa scafu ya ccm. alilazimika kushuka kabla ya kufika.
waliendelea kusimulia machungu mengi sana. Nimefurahi kuona kuwa wanaelewa nchi inakwenda wapi.
Kimsingi Chadema imeonesha kuwa itawaletea tumaini jipwa.

SLAA WAHI IKULU LETA MAENDELEO:israel:
 
Katika hali inayoonesha watanzania kuchoshwa na ubabaishaji wa Chama Tawala CCM, Watu mbalimbali mitaa ya Tanga wameendelea kukumbuka machungu waliyofanyiwa na CCM hasa kipindi cha miaka hii mitano ya JK.
Nimwakuta akina mama wakimzodoa mwenzao kuwa "hana lolote, anakuwa kama hajawahi kwenda sokoni, deci nayo yeye alikula nini" ni baada ya huyo mama kuvaa scafu ya ccm. alilazimika kushuka kabla ya kufika.
waliendelea kusimulia machungu mengi sana. Nimefurahi kuona kuwa wanaelewa nchi inakwenda wapi.
Kimsingi Chadema imeonesha kuwa itawaletea tumaini jipwa.

SLAA WAHI IKULU LETA MAENDELEO:israel:

Ushindi kwa Dr. Slaa Jumapili hii ni wa Sunami. Huko kijijini kwetu kama nilivyosema jana wana mwamko ambao sikutegemea. Kaka yangu aliyeko huko aliniambia kuwa hata huko interior kabisa jina la Dr. Slaa linang'aa. Wameichoka CCM si kawaida.
 
Back
Top Bottom