Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kwa mujibu wa gazeti moja la leo,aliekuwa mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA, bwana Edward Lowassa,jana alizuia na Polisi wa mkoa wa Tanga kufanya mkutano wa hadhara kuwashukuru wananchi waliompigia kura kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita kwa kile kilichoelezwa ni serikali kupiga marufuko mikutano ya siasa.
Habari hii kwangu bado ni vigumu kuiamini ila kama kweli tumefikia hatua hii huku tukisema nchi yetu ni nchi ya kidemokrasia, basi sisi tutaku watu wa ajabu sana!
Sasa wadau,kweli amri hii ni sahihi na halali?
Kwanini CHADEMA msiende Mahakamani kutafuta haki?
Hii haikubaliki hata kidogo!
Habari hii kwangu bado ni vigumu kuiamini ila kama kweli tumefikia hatua hii huku tukisema nchi yetu ni nchi ya kidemokrasia, basi sisi tutaku watu wa ajabu sana!
Sasa wadau,kweli amri hii ni sahihi na halali?
Kwanini CHADEMA msiende Mahakamani kutafuta haki?
Hii haikubaliki hata kidogo!