CHADEMA kwanini inatetea kila mtu anayetumbuliwa?

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,842
Kwanza naomba nieleweke kwamba napingana na rais Magufuli kwa baadhi ya mambo ya kisera kama Sera yake ya uchumi na kuminya Democrasia......

Lakini najiuliza tu maswali kwanini wapinzani walio wengi wanachukia na kupinga kila kitu anachofanya Rais either kwa kejeri au kumshambulia.......

Mara ya kwanza nilisikia wakimtetea Kitwanga ...

Wakaja kutetea aliyekuwa mkuu wa mkoa shinyanga.......

Wakaja kumtetea aliyekuwa mkurugenzi wa TIC.......

Wakaja kumtetea aliyetimuliwa TRA baada ya kuwa akipika mapato......

Sasa Leo ni watetezi wa mkurugenzi wa Tanesco.......

Hivi Lowassa na chadema mlitaka kwenda ikulu kufanya nini kweli tungesalimika kweli chini ya mwizi Lowassa?........

Kikwete alifanya teuzi kila mwezi na kuondoa wengine kwa kisingizio cha kustaafu lakini kelele sikusikia .....

Mnakumbuka alivyoondolewa aliyekuwa CAG kabla ya Asad?......

Kifupi Lowassa kama angeenda Ikulu wezi nafikiria wangegeuza nchi genge la wezi......

Najiuliza tu kwanini kila anayeondolewa kwenye nafasi yake chadema wanamuonea huruma?.......

Jk alifanya teuzi mpaka wiki moja kabla ya uchaguzi lakini watu bado hawakuona kama alikuwa akitumbua majipu......

Hivi ni lazima tukosoe kila kitu? Rais achapishe kadi ya mwaka mpya tukosoe Mala kadi mbaya haijatengenezwa kitaaramu......

Rais akiandika Twitter kuandika kingereza tukosoe, baada tu deal na mambo ya kisera ambayo yataleta maendeleo sisi tuna deal na vitu vya ajabu ajabu tu.....

Kumbe hata Gambo na Makonda wanashutumiwa kila siku wakitenguliwa watakuja kuwatetea?

Chadema acheni kutetea wezi na watendaji wasiofuata misingi ya utumishi wa Umma.........
 
Mara ya kwanza nilisikia wakimtetea Kitwanga ...

Wakaja kutetea aliyekuwa mkuu wa mkoa shinyanga.......

Wakaja kumtetea aliyekuwa mkurugenzi wa TIC.......

Wakaja kumtetea aliyetimuliwa TRA baada ya kuwa akipika mapato......

Sasa Leo ni watetezi wa mkurugenzi wa Tanesco.......

Hivi Lowassa na chadema mlitaka kwenda ikulu kufanya nini kweli tungesalimika kweli chini ya mwizi Lowassa?........

Kikwete alifanya teuzi kila mwezi na kuondoa wengine kwa kisingizio cha kustaafu lakini kelele sikusikia .....

Mnakumbuka alivyoondolewa aliyekuwa aliyekuwa CAG kabla ya Asad?......

Kifupi Lowassa kama angeenda Ikulu wezi nafikiria wangegeuza nchi genge la wezi......

Najiuliza tu kwanini kila anayeondolewa kwenye nafasi yake chadema wanamuonea huruma?.......

Kumbe hata Gambo na Makonda wanashutumiwa kila siku siku wakitenguliwa watakuja kuwatetea?

Chadema acheni kutetea wezi na watendaji wasiofuata misingi ya utumishi wa Umma.........
Kumbe Tech nawe hujui falsafa ya CDM, kwaheri. Nilikupa credit kumbe mh!
 
Mara ya kwanza nilisikia wakimtetea Kitwanga ...

Wakaja kutetea aliyekuwa mkuu wa mkoa shinyanga.......

Wakaja kumtetea aliyekuwa mkurugenzi wa TIC.......

Wakaja kumtetea aliyetimuliwa TRA baada ya kuwa akipika mapato......

Sasa Leo ni watetezi wa mkurugenzi wa Tanesco.......

Hivi Lowassa na chadema mlitaka kwenda ikulu kufanya nini kweli tungesalimika kweli chini ya mwizi Lowassa?........

Kikwete alifanya teuzi kila mwezi na kuondoa wengine kwa kisingizio cha kustaafu lakini kelele sikusikia .....

Mnakumbuka alivyoondolewa aliyekuwa aliyekuwa CAG kabla ya Asad?......

Kifupi Lowassa kama angeenda Ikulu wezi nafikiria wangegeuza nchi genge la wezi......

Najiuliza tu kwanini kila anayeondolewa kwenye nafasi yake chadema wanamuonea huruma?.......

Kumbe hata Gambo na Makonda wanashutumiwa kila siku siku wakitenguliwa watakuja kuwatetea?

Chadema acheni kutetea wezi na watendaji wasiofuata misingi ya utumishi wa Umma.........
Utaratibu unaotumika...
You can not fire someone today and hire another kesho yake kwenye position kubwa... unless kama ulikuwa unamvizia jamaa akosee
 
Hao wanaotetea huwa ni wapinzani wa kila kitu kinachofanywa na serikali iliyoko madarakani nchi zote yaani wana aleji na rais yoyote aliyeko madarakani,
Ila huyu mzee naye kazidi kitu kidogo keshaondoa mtu halafu baadae kitu kinatikea basi ajipange ateue watu makini aache kudhihirisha uzembe katika uteuzi.
 
Labda ni aina ya utumbuaji. Kwa mfano ktk issue ya Umeme ningelikua Mimi wa kwanza wa kumtumbua alikua mkurugenzi wa ewura. Kwasababu siku zote tanesco wa nataka bei ipande ili waweze kujiendesha vizuri, na mwananchi anataka bei ishuke ili apate Umeme kwa bei nafuu. Sasa tukamuweka mtu wa katikati ewura kwanini aruhusu bei kupanda?
 
Hizi kauli za kutetea alizitoa nani? Mbowe? Victor Kimesera? Makene? Press ilitolewa lini?? Mawazo ya kinyafuzi kabisa

Wale binadamu waliozikwa kama mashetani wakiaminika ni wakimbizi kweli CHADEMA iliwatetea kwa sababu walidhalilishwa sana
 
Mara ya kwanza nilisikia wakimtetea Kitwanga ...

Wakaja kutetea aliyekuwa mkuu wa mkoa shinyanga.......

Wakaja kumtetea aliyekuwa mkurugenzi wa TIC.......

Wakaja kumtetea aliyetimuliwa TRA baada ya kuwa akipika mapato......

Sasa Leo ni watetezi wa mkurugenzi wa Tanesco.......

Hivi Lowassa na chadema mlitaka kwenda ikulu kufanya nini kweli tungesalimika kweli chini ya mwizi Lowassa?........

Kikwete alifanya teuzi kila mwezi na kuondoa wengine kwa kisingizio cha kustaafu lakini kelele sikusikia .....

Mnakumbuka alivyoondolewa aliyekuwa aliyekuwa CAG kabla ya Asad?......

Kifupi Lowassa kama angeenda Ikulu wezi nafikiria wangegeuza nchi genge la wezi......

Najiuliza tu kwanini kila anayeondolewa kwenye nafasi yake chadema wanamuonea huruma?.......

Kumbe hata Gambo na Makonda wanashutumiwa kila siku siku wakitenguliwa watakuja kuwatetea?

Chadema acheni kutetea wezi na watendaji wasiofuata misingi ya utumishi wa Umma.........
HAWANA LA KUFANYA. ..ALAFU WAO WANAJIITA WAPINZANI HIVYO LAZIMA WAPINGE KILA KITU. ...
 
Acha kuwa kinyaa kama kinyesi wewe

Unaweza weka ushahidi wa wazi ni wapi chadema iliwatetea hao?

Au unaongea kwa kulinganisha michango ya watu binafsi na kuchukulia msimamo wa chama?

We dogo bado sana kifikra na ni wazi unyafudhi.... Utapiamlo...dhiki iliyokithiri imeuharibu ubongo wako... hizi akili zako ni level za Facebook sio hapa!!

Weka ushahidi hapa kuonesha chadema kama chama kilitetea hayo....
Labda akiona Quinine anatetea anadhani Chadema ndio inatetea.

Wanachadema tuko huru kutetea na kukosoa chochote
 
Na wewe ujiandae kutimuliwa chadema na hutakuwa na mtetezi huko!! Maana unawaambia ukweli Ila kwa vile wameshajitwika usultani wanakuona mwanga tu.

Chama kimekuwa cha kutetea wezi wa nchi hii, hii ni baada ya kumpokea Baba wa wizi!
 
Acha kuwa kinyaa kama kinyesi wewe

Unaweza weka ushahidi wa wazi ni wapi chadema iliwatetea hao?

Au unaongea kwa kulinganisha michango ya watu binafsi na kuchukulia msimamo wa chama?

We dogo bado sana kifikra na ni wazi unyafudhi.... Utapiamlo...dhiki iliyokithiri imeuharibu ubongo wako... hizi akili zako ni level za Facebook sio hapa!!

Weka ushahidi hapa kuonesha chadema kama chama kilitetea hayo....
Hivi Kabwe aliye lalamikiwa na Wenje kwamba ni fisadi mbona alipoondolewa povu likatoka.........

Mwizi ni mwizi tu
 
Mara ya kwanza nilisikia wakimtetea Kitwanga ...

Wakaja kutetea aliyekuwa mkuu wa mkoa shinyanga.......

Wakaja kumtetea aliyekuwa mkurugenzi wa TIC.......

Wakaja kumtetea aliyetimuliwa TRA baada ya kuwa akipika mapato......

Sasa Leo ni watetezi wa mkurugenzi wa Tanesco.......

Hivi Lowassa na chadema mlitaka kwenda ikulu kufanya nini kweli tungesalimika kweli chini ya mwizi Lowassa?........

Kikwete alifanya teuzi kila mwezi na kuondoa wengine kwa kisingizio cha kustaafu lakini kelele sikusikia .....

Mnakumbuka alivyoondolewa aliyekuwa aliyekuwa CAG kabla ya Asad?......

Kifupi Lowassa kama angeenda Ikulu wezi nafikiria wangegeuza nchi genge la wezi......

Najiuliza tu kwanini kila anayeondolewa kwenye nafasi yake chadema wanamuonea huruma?.......

Jk alifanya teuzi mpaka wiki moja kabla ya uchaguzi lakini watu bado hawakuona kama alikuwa akitumbua majipu......


Kumbe hata Gambo na Makonda wanashutumiwa kila siku wakitenguliwa watakuja kuwatetea?

Chadema acheni kutetea wezi na watendaji wasiofuata misingi ya utumishi wa Umma.........
Utoh alistaafu
 
Wewe nilikuwa nakuona ni memba afadhali humu kumbe walewale tu.unaweza kuweka humu tamko la chadema ikitetea kutumbuliwa?au hujui tofauti kama ya msimamo wa chama na maoni au msimamo wa mtu mmoja mmoja,kwa hiyo mm leo nikipinga kutumbuliwa kwa Mramba ni pingo la Chadema?
Wengi humu mnapinga magufuli kutaka watu wasiotoe maoni yao halafu wewe pia unakuwa hutambui maoni huru ya wachadema

Kutumbuliwa kwa Mramba wewe kunakusaidia nini?unaweza kupinga ingezeko la umeme lakini ukapinga kutumbuliwa kwa Mramba kwa sababu yeye na menejiment ilitimiza wajibu wake kama taasisi ikiweka sababu na wengine wakatimiza wajibu wake wa kukataa sababu hizo.full stop!mengine ni porojo tu za kuteka watu kama nyie. Kuna taasisi inaleta proposal lakini IPO inayopitisha maamuzi.sasa huwezi kutegemea uletewe maamuzi unayoyapenda tu,utaletewa na Yale machungu,basi yakatae na kazi ziendelee,sasa hapo baadae ikija kuonekana haya ya kupandisha umeme mtamrudisha Mramba?
Pascal Mayalla
 
Na wewe ujiandae kutimuliwa chadema na hutakuwa na mtetezi huko!! Maana unawaambia ukweli Ila kwa vile wameshajitwika usultani wanakuona mwanga tu.

Chama kimekuwa cha kutetea wezi wa nchi hii, hii ni baada ya kumpokea Baba wa wizi!
Kwa lipi?
 
Back
Top Bottom