johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,886
- 141,818
Najiuliza tu maana tangia wamchukue Lazaro Nyalandu kutoka CCM hawa jamaa wa CHADEMA hawajapokea diwani wala Mbunge tena kutoka chama tofauti.
CCM wao karibia kila mwezi wanapokea madiwani kutoka vyama vya upinzani wanaojiunga nacho kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli.
Je, CHADEMA kimepoteza mvuto au wanawapokea kimya kimya?
Maendeleo hayana vyama!
CCM wao karibia kila mwezi wanapokea madiwani kutoka vyama vya upinzani wanaojiunga nacho kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli.
Je, CHADEMA kimepoteza mvuto au wanawapokea kimya kimya?
Maendeleo hayana vyama!