Nani kafanya wewe mzima kweli acha mawazo ya kibavicha mkuu.
Ninkweli mkuu hata zile za chekechea za machame na rombo.
Soma hapa,Idea gani ya cdm iliyoshindwa kuendelea? nyingi mnazicmamisha nyie kwa mabomu yenu ya kichina,kwa sasa m4c inafanyika kote nchini kimya kimya bila promo ili msiendelee kutuulia raia wasiokuwa na hatia labda kwa vile nimekupa siri hapa bs mwambie savimbi kabisa kuwa m4c kumbe bado inachanja mbunga japo mwenzie kibarua kimeota nyasi ila najua hashindwi kutumia uzoefu wake
Naomba serika katika hili muingilie kati maana chadema wanataka kuwaaribu kabisa hawa wanafunzi.
Katika hili chadema ndio watachangia kwa kuongezeka kwa zero.
Hivi chadema mmeshindwa kwenda huko vijijini kutafuta wanachama sasa mmeanza kuwaingiza hata wanafunzi?
Hivi kuna shule ambazo ni wanachama wa chadema?
Sikujua hili, nilidhani wanafunzi ndio wanachama kumbe shule??/
Hivi kuna shule ambazo ni wanachama wa chadema?
Sikujua hili, nilidhani wanafunzi ndio wanachama kumbe shule??/
Inaonesha imekuumiza kwa
kiwango fulani. Hiyo organization itaundwa na wanafunzi wenye umri wa
zaidi ya miaka 18 kwani kikatiba wanahaki ya kupiga kula hata
kuchaguliwa wakipenda. Mimi naona ni wazo zuri la kuondeleza vipaji vya
uongozi. Aluta continuaaaaaaaaaaaaaa