Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Siku ya Jumamosi tarehe 27/01/2018 CHADEMA Chadema kuzindua kampeni Kinondoni. Wewe Mtanzania uishie Kinondoni na mahali popote ndani ya Dar es salaam usikose kufika. Njoo ushuhudie kampeni na uchaguzi tulioamua kutokuwa walalamikaji kwa CCM, wakurugenzi au jeshi la Police.