Anaweza, tena vizuri sana, Hataki shida yule ni muoga sana.
Naiona Tanzania katika machafuko ya kisiasa!!
Anything in this planet can happen, however, the author of this thread has chosen to go cold for the right and hard facts for wrong and soft target.
It is possible he has been asked to touch the tail of the snake so that the head can be raised and give chance for the snake hunter to determine the size of the snake before confrontation is engineered. The devil is always in the detail kindly read and work out the meaning between words.
The whistle blower has thrown the stone in the wrong direction the snake will not raise the head instead sensed the danger and i hope running away is an option viable, i mean refuse to corporate but remain alert.
Hii ni dalili tosha kuwa Kikwete keshauza nchi yetu kwa Wamarekani. Unaweza kuimagine wakati wa Mzanaki analetewa ripoti ya CIA kutoka state department ya Marekani?
Basi hatuna nchi tena. We are worse than a banana republic.Tiss imegawanyika katika makundi 7 na kila moja linafanya kazi kwa maslahi ya mtu flan lakini wanalipwa na serikali...kundi linalofanya kazi kwa maslahi ya nchi linapingwa vibaya sana na wengi wanapotea kwa formula ya costra nostra ...tangu 2008 kazi za kichunguzi zimekuwa zikifanywa na mashirika ya nje ya kijasus...