Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
- Thread starter
- #141
haya sasa kikowapi sasa1.wimbi la kuhamia CCM kwa wabunge kutoka 2018... Hawakuwa CHADEMA asilia?
2.CHADEMA wana machinery ya vetting? Kuepuka kuchukua 'wasio'
3.chadema asili wote wazee hapo mwanzo walikuwa CCM
4.unaweza washauri CHADEMA wakasikia? Wewe kwa CHADEMA ni kidudu, kisisimizi, takataka kabisa... CDM huwa haishauriki, unapata wapi guts hizo? Au unafikiri wanaokupa like humu ni CHADEMA? Hauijui CHADEMA acha kujipendekeza.... Kamuulize mfia chama Slaa, alichokipata , muuulize mtafuta wanachama wengi na kupeleka chama hatua ya juu bwana zitto, muulize mwanakijiji!!.. washauri wote wa CHADEMA waliokipenda waliitwa wasaliti,!!! Wewe usiye na jina halisi unakishauri kuanzia wapi?