Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,224
Mbona vyama viko vingi, kwanini wasiende chapa ya jogoo wakakiongezee chati chama!!!Aidha Halima Mdee na wenzake wanayo haki ya kuiomba mahakama irejee maamuzi ya baraza kuu
Mkurugenzi wa kituo cha haki za binadamu mama Henga amesema lilipoishia baraza kuu la Chadema ndipo Mahakama kuu itakapoanzia