Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,099
1. wewe unayewaambia wenzako kuwa wametumwa,yaelekea wewe huwa unatumwa humu ndani kwa ajili ya umbea tu.....acha ujinga huo.
2. hata wakija CDM ni vyema na ni haki yao ya kikatiba,but ni lazima watubu kwanza hadharani na kwa Mungu, kwa dhambi yao ya kubaka uchumi wetu.
Tarehe ya kujiunga.......29/04/2011....