Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!
Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.
Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.
Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!
Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.
Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.
Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!