CHADEMA kuwa na wabunge chini ya ishirini(20) ifikapo Jan 2016 - UTABIRI!

Nyami2010

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
227
50
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!
 
Haaaaa haaaaaa! CCM ipi unayoizungmzia ndugu? Kinachoiangamiza CCM ni kulea ufisadi na mafisadi na kutoa ahadi hewa! Unapodai "CCM ikijipanga" unamaanisha watawapeleka mafisadi mahahakani na kutimiza ahadi zao zote? Mtanzania wa leo si wa jana ndugu! You can't believe Dkt Mwakyembe alikuwa anaonekana shujaa jimboni kwake Kyela na walimwita Obama, sasa hivi wanamwita "msanii" hata hajamaliza mwaka tangu achaguliwe kuwa mbunge kwa mara nyingine! Salama ya CCM kwa sasa ni nguvu za dola, ndio maana "wazee wa intelijensia" hawaachi kurusha mabomu kwa hofu ya nguvu ya umma! Utafika wakati watu watazoea mabomu na hawataogopa tena! Hapo ndio utakuwa mwisho wa CCM!
 
Je utabiri wako Umetokana na Mungu wa mbinguni au umetoka kuzimu kama ule wa shekhe Yahaya? Hata kuzimu kwenye ulimwengu wa roho inajua kuwa CCM haipo tena madarakani.Haya yote unayoyaona ya magamba ni taratibu za kibinadamu roho wa uharibifu anazikamilisha kwenge ulimwengu wa mwili.
 
We usikute ni nape au Mkama ulietuma thread hii.Kafie mbele na CHAMA CHA MAGAMBA.Wananchi wameamka sasa hivi ikumbukwe kuwa Watanzania wengi waliamini vyama vingi ni vita ila sasa wamejua ukweli uko wapi.
 
Naweza kukubaliana nawe kwa sababu nna uhakika wa chadema kuanza kusambaratika mara tu baada ya kumaliza ziara zao za mikoani.

Natabiri; mwanzo wa kusambaratika chadema ni baada ya kikao cha bunge kijacho. Tutaona chadema wataanza kulumbana wenyewe kwenye kikao kijacho cha bunge na vuguvugu litaendelea hadi kukisambaratisha chama. Chokochoko baada ya vikao vya bunge zitaanza kuikumba chadema kupitia makundi ya safari na lingine mbowe na lingine slaa. Kila kundi litataka liwe na kauli zaidi ya lingine. Kwa upande mwingine, zitto hatakubali awachwe mkiani, mdee atanunuliwa kwa pesa ndogo tu, lema halikadhalika na lisu tayari kisha wekwa mfukoni. Duhh. Huu ni utabiri tu, inawezekana iwe au isiwe.
 
Utabiri wako sio sawa sawa, 2016 ni mbali sana, hata mwaka mmoja ni mwingi kwa hawa jamaa.
 
Hakuna utabiri hapo, Makamanda wa CDM hawawezi kununuliwa, hilo ni hisia binafsi.
Nia moja, wananchi tuko nao bega kwa bega. Kwani ww hata leo hii umeona CCm inawapa airtime
CDM kwa TBC ikiwa hata mikutano yao haionyeshwi kabisa na ikionyeshwa ni wakitoka hotelin ia inageuzwa wakiongea
na sio impact na meseji. Ila mchovu Nape mpaka mashairi yote anaonyeshwa na wote alionao kujisafisha na bado
haitasaidia.

Kama kweli walishinda kwa kuchaguliwa kwanini wanataka kurudisha Image kwa wananchi, while walikupa kura
kwa image, hapo walichakachua matokeo na hawajui wasimamie wapi, Wanaiga mwendo wa CDm wakidhani ndio image.

Uliona wapi chama Tawala kinanunua watu waende kwa mkutano, pikipiki, mikokoteni, magari na watu wanapewa pombe
kuna kitu hapo. Ili waje kukusikiliza au wanakuchiora tu pale.
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

Sawa na fisi anayezengea mkono wa binadamu akidhani utaanguka auokote. Pumba Pumba___

Join Date : 2nd December 2009
Posts : 49
Thanks 0Rep Power : 0

Ulikuwa wapi kupata akili toka 2009 halafu una post 49. Kichefu chefu kingine hakuna utabiri subiri shubiri
 
Naweza kukubaliana nawe kwa sababu nna uhakika wa chadema kuanza kusambaratika mara tu baada ya kumaliza ziara zao za mikoani.

Natabiri; mwanzo wa kusambaratika chadema ni baada ya kikao cha bunge kijacho. Tutaona chadema wataanza kulumbana wenyewe kwenye kikao kijacho cha bunge na vuguvugu litaendelea hadi kukisambaratisha chama. Chokochoko baada ya vikao vya bunge zitaanza kuikumba chadema kupitia makundi ya safari na lingine mbowe na lingine slaa. Kila kundi litataka liwe na kauli zaidi ya lingine. Kwa upande mwingine, zitto hatakubali awachwe mkiani, mdee atanunuliwa kwa pesa ndogo tu, lema halikadhalika na lisu tayari kisha wekwa mfukoni. Duhh. Huu ni utabiri tu, inawezekana iwe au isiwe.

Ndoto za mchana mbaya unaweza ukaota unananii ****. Kama ndio mpango wenu mkaanze upya hilo halipo
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

lazima ulienda kwa shehe yahaya,huo mda ukifika utakanusha mwenyewe
 
Wapuuzi kama hawa dawa yao ni kuacha thread zao zikae bila comments ili wajue kwamba wanaongea upu upu tu. Cha msingi kila mmoja wetu aweke kumbukumbu ya hii thread ili ikifika 2016 tukumbushe huyu mjinga wetu na utabiri wake wa kipuuzi..
 
Bunge la chadema siku hizi liko uraiani na kwa maana hiyo wabunge wa chadema bungeni (huku uraiani) ni wengi mno. Hata hivyo wamepeleka wawakilishi wachache kwenye Bunge la Mama Makinda na wanahisa wenzake ili kudumisha 'umoja na mshikamano' wa kitaifa. Kwa hiyo hata kama atabaki mbunge mmoja huko kwa Makinda anaweza kuwakilisha vema..

Kwa maneno mengine ninachosema ndugu yangu ni kwamba kwa chadema kupoteza viti Dodoma itatatokana na utendaji wa ccm huku mtaani ambamo ndiko bunge halisi la chadema limo. ajira, elimu bora, makazi bora na sio mbavu za mbwa, umeme, hospitali etc maana hivi ndivyo vinavyoongelewa na wananchi wenyewe kwenye bunge la wananchi (uraiani). Time will tell kama ccm wanaweza kutimiza haya, bila hivyo itakuwa ngumu sana.
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

wewe ndo una maoni na mitazamo tofauti.... jikaribishe mwenyewe
 
Utabiri wako sio sawa sawa, 2016 ni mbali sana, hata mwaka mmoja ni mwingi kwa hawa jamaa.

Alishindwa sheikh Yahya Mtakuwa ninyi, utabiri wenu na wa Sheikh Yahya unaongozwa na nguvu za giza zinazofanya kazi CCM na sio Chadema.
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!
mmezoea mambo ya kupiga ramli kwa waganga wa kienyeji nafikri amekuambia maji marefu, tumia ubongo kufikiri acha kutumia tumbo, mkama amewapa kazi ngumu hapa jf
 
Hoja imefanyiwa marekebisho kidogo soma hapo kwenye box na kichwa cha habari, mtoa hoja alijichanganya
Nionavyo mimi, kama CHADEMA wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA! Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CCM kwa sababu ambazo CHADEMA wanajutia na wataendelea KUZIFANYIAKAZI.
CHADEMA wakiendelea kuwa serious na wakaendelea kukomaa na wakakomesha uchakachuaji wa CCM ndani ya TAIFA, hakika CHADEMA ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe
.Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CCM ifikapo Jan 2016.
mtoa hoja alichanganya mambo kidogo, nadhani ni mgeni hapa Tanzania, atakuwa ni mkenya wa hivi vituo vya redio, tatizo lake hajui hipi ni CDM NA CCM, na hajui vijana ni wapi na wazee ni wazee,
maana vijana wengi bado wanakula msoto kutokana na hii serikali ya kikwete hivyo kuonekana wazee na vigogo wanaotumbua kodi zetu jamaa anadhani ndio vijana.
tumsamehe taratibu ataelewa maana ameahidi kuwa hapa jamii forums
 
Wanachama wa CCM waliobakia ni wale wanaoneemeka na mfumo wa kifisadi na wale wenye matatizo ya akili.
Unaweza ukajiuliza mwenyewe kati ya hayo makundi mawili hapo juu we uko wapi.
 
Back
Top Bottom