YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,888
Miaka yote Chadema imekuwa ikijijenga kwenye miji michache mno Tanzania
Ilichagua vimiji vichache tu kwa mikoa michache tu ya Tanzania na kujijenga na kuacha miji mingine ya mikoa.
Ukienda baadhi ya mikoa wanakosema Wana nguvu unakuta mkoa una miji mfano minne wanachagua mji mmoja wanajijenga hapo wanaridhika
Vijijini huko hawakuhangaika nako kabisa Hakukuwemo kwenye upanuzi wao na ndiko asilimia 80 ya wapiga kura wapo
CCM vijijini ndiko ilikupa kipaumbele ikijua walio wengi wanaishi vijijini hivyo kuhakikisha kila kijiji kina tawi la CCM na miji yote nchi nzima kuhakikisha kila mtaa una tawi la CCM active wakati Chadema Hilo hawana mataei hata kwenye miji yako sehemu chache tu na Ni machache yaliyo active mengi hata waliyokuwa wamefungua kipindi Cha Slaa na Lowassa yalishafungwa yamebaki machache tu active
Lisu alisema uchaguzi wa mwaka huu mgumu Ni kweli Ni mgumu kwa Chadema sababu kwa Mara ya kwanza Chadema inafanya uchaguzi bila kuwa na pesa chama hakina pesa na mgombea Hana pesa pili uchaguzi Ni mgumu kwa chadema sababu kinafanya uchaguzi bila kuwa na sera ya kueleweka kwa wananchi kuwa kinasimamia Nini
Tatu ni mgumu kwa Chadema kwa sababu Matawi mengi ya Chadema mijini yalishafungwa na Ni machache tu yaliyopo ndio yako active
Nne mwamko wa watu kea Chadema Kama chama Ni mdogo hata wagombea wa Chadema hawakinafi chama wanahangaika kujinadi wao as individuals
Hata ukiangalia humu jamii forums Chadema waliojaa humu wananadi zaidi watu wao Sio Chadema Kama chama!!! Na wagombea wanazunguka kujinadi Mimi Mimi mimi!!!! Umimi mwingi kuliko chama
Ilichagua vimiji vichache tu kwa mikoa michache tu ya Tanzania na kujijenga na kuacha miji mingine ya mikoa.
Ukienda baadhi ya mikoa wanakosema Wana nguvu unakuta mkoa una miji mfano minne wanachagua mji mmoja wanajijenga hapo wanaridhika
Vijijini huko hawakuhangaika nako kabisa Hakukuwemo kwenye upanuzi wao na ndiko asilimia 80 ya wapiga kura wapo
CCM vijijini ndiko ilikupa kipaumbele ikijua walio wengi wanaishi vijijini hivyo kuhakikisha kila kijiji kina tawi la CCM na miji yote nchi nzima kuhakikisha kila mtaa una tawi la CCM active wakati Chadema Hilo hawana mataei hata kwenye miji yako sehemu chache tu na Ni machache yaliyo active mengi hata waliyokuwa wamefungua kipindi Cha Slaa na Lowassa yalishafungwa yamebaki machache tu active
Lisu alisema uchaguzi wa mwaka huu mgumu Ni kweli Ni mgumu kwa Chadema sababu kwa Mara ya kwanza Chadema inafanya uchaguzi bila kuwa na pesa chama hakina pesa na mgombea Hana pesa pili uchaguzi Ni mgumu kwa chadema sababu kinafanya uchaguzi bila kuwa na sera ya kueleweka kwa wananchi kuwa kinasimamia Nini
Tatu ni mgumu kwa Chadema kwa sababu Matawi mengi ya Chadema mijini yalishafungwa na Ni machache tu yaliyopo ndio yako active
Nne mwamko wa watu kea Chadema Kama chama Ni mdogo hata wagombea wa Chadema hawakinafi chama wanahangaika kujinadi wao as individuals
Hata ukiangalia humu jamii forums Chadema waliojaa humu wananadi zaidi watu wao Sio Chadema Kama chama!!! Na wagombea wanazunguka kujinadi Mimi Mimi mimi!!!! Umimi mwingi kuliko chama