CHADEMA kuwa na mgombea urais wa kudumu?

hugochavez

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
1,907
1,009
Kuna kautaratibu kanaanza kuzoeleka hivi sasa kwenye vyama vya siasa ka kuwa na mgombea urais wa kudumu. jambo hili ni hatari sana na ni tishio kwa ustawi na ukuaji wa demokrasia.

CUF ina mgombea wake wa kudumu prof Haruna Lipumba na sasa CHADEMA nayo inaonekana kuwa na utaratibu huo ambapo mh Edward Lowassa ndio mteule wa kudumu wa urais wa chama hicho.

Nimekaa nikitafakari na kujiuliza bila kupata jibu la wapi Tunaipeleka demokrasia kama Taifa.
Hivi karibuni, akiwa Kenya kushiriki mazishi ya waziri mmoja mwenye asili ya kimasai, Aliyekuwa mgombea urais mwaka 2015 kwa tiketi ya chadema Edward Lowassa alieleza kuwa atagombea tena urais kwa tiketi ya chama hicho hali inayoashiria kuwa hii ni style mpya kwa nchi yetu ambapo tunakuwa na wagombea urais wa kudumu.

Maswali ya kufikirisha.
1. je hakuna vikao rasmi ambavyo vinahusika kuchakata wagombea wa urais na nafasi zingine za kisiasa kwenye vyama hivi? mfano kamati kuu ya chadema, baraza kuu la cuf, na mkutano mkuu wa vyama hivyo? unashauriwa na mkeo usiku asubuhi yake unatekeleza?
2. katiba za vyama hivi zinasemaje kuhusu suala la hili?
3. ndio aina ya demokrasia mpya kwa nchi yetu?
4. hizi kelele za kunyooshea wengine kuwa madikteta, kwanini tusingeondoa mabanzi kwenye macho yetu kwanza ndio tuwanyooshee wengine?

karibuni kwa mjadala. matusi NOOO
 
Kuna kautaratibu kanaanza kuzoeleka hivi sasa kwenye vyama vya siasa ka kuwa na mgombea urais wa kudumu. jambo hili ni hatari sana na ni tishio kwa ustawi na ukuaji wa demokrasia.

CUF ina mgombea wake wa kudumu prof Haruna Lipumba na sasa CHADEMA nayo inaonekana kuwa na utaratibu huo ambapo mh Edward Lowassa ndio mteule wa kudumu wa urais wa chama hicho.

Nimekaa nikitafakari na kujiuliza bila kupata jibu la wapi Tunaipeleka demokrasia kama Taifa.
Hivi karibuni, akiwa Kenya kushiriki mazishi ya waziri mmoja mwenye asili ya kimasai.
Aliyekuwa mgombea urais mwaka 2015 kwa tiketi ya chadema Edward Lowassa alieleza kuwa atagombea tena urais kwa tiketi ya chama hicho hali inayoashiria kuwa hii ni style mpya kwa nchi yetu ambapo tunakuwa na wagombea urais wa kudumu hapa nchini.

Maswali ya kufikirisha.
1. je hakuna vikao rasmi ambavyo vinahusika kuchakata wagombea wa urais na nafasi zingine za kisiasa kwenye vyama hivi? mfano kamati kuu ya chadema, baraza kuu la cuf, na mkutano mkuu wa vyama hivyo? unashauriwa na mkeo usiku asubuhi yake unatekeleza?
2. katiba za vyama hivi zinasemaje kuhusu suala la hili?
3. ndio aina ya demokrasia mpya kwa nchi yetu?
4. hizi kelele za kunyooshea wengine kuwa madikteta, kwanini tusingeondoa mabanzi kwenye macho yetu kwanza ndio tuwanyooshee wengine?

karibuni kwa mjadala. matusi NOOO
Mkuu.kuna Demo krasia na domo krasia.Domo krasia ni uhuru wa kuongea chochote sababu domo ni jumba la maneno.Chadema ni chama cha Domo krasia sio Demo krasia.Usiwaamini wakiongea.Lowasa anajitangaza mgombea wa Ukawa bila kujali kuwa vikao vya.Ukawa vya vyama tofauti waweza kubaliana kuwa 2020 mgombea uraisi wa Ukawa atoke chama kingine
 
Mkuu.kuna Demo krasia na domo krasia.Domo krasia ni uhuru wa kuongea chochote sababu domo ni jumba la maneno.Chadema ni chama cha Domo krasia sio Demo krasia.Usiwaamini wakiongea.Lowasa anajitangaza mgombea wa Ukawa bila kujali kuwa vikao vya.Ukawa vya vyama tofauti waweza kubaliana kuwa 2020 mgombea uraisi wa Ukawa atoke chama kingine
Hawezi kumkataa lowassa
 
Kuna kautaratibu kanaanza kuzoeleka hivi sasa kwenye vyama vya siasa ka kuwa na mgombea urais wa kudumu. jambo hili ni hatari sana na ni tishio kwa ustawi na ukuaji wa demokrasia.

CUF ina mgombea wake wa kudumu prof Haruna Lipumba na sasa CHADEMA nayo inaonekana kuwa na utaratibu huo ambapo mh Edward Lowassa ndio mteule wa kudumu wa urais wa chama hicho.

Nimekaa nikitafakari na kujiuliza bila kupata jibu la wapi Tunaipeleka demokrasia kama Taifa.
Hivi karibuni, akiwa Kenya kushiriki mazishi ya waziri mmoja mwenye asili ya kimasai, Aliyekuwa mgombea urais mwaka 2015 kwa tiketi ya chadema Edward Lowassa alieleza kuwa atagombea tena urais kwa tiketi ya chama hicho hali inayoashiria kuwa hii ni style mpya kwa nchi yetu ambapo tunakuwa na wagombea urais wa kudumu.

Maswali ya kufikirisha.
1. je hakuna vikao rasmi ambavyo vinahusika kuchakata wagombea wa urais na nafasi zingine za kisiasa kwenye vyama hivi? mfano kamati kuu ya chadema, baraza kuu la cuf, na mkutano mkuu wa vyama hivyo? unashauriwa na mkeo usiku asubuhi yake unatekeleza?
2. katiba za vyama hivi zinasemaje kuhusu suala la hili?
3. ndio aina ya demokrasia mpya kwa nchi yetu?
4. hizi kelele za kunyooshea wengine kuwa madikteta, kwanini tusingeondoa mabanzi kwenye macho yetu kwanza ndio tuwanyooshee wengine?

karibuni kwa mjadala. matusi NOOO
Kweli mkuu! Eti mzee wa chato anatamani kabadili katiba atawale milele hadi kifo kimkute?

brain is the beautiful part of the body.
 
Nasikia mnataka kufanya maandamano ya kushawishi Watanzania ili kipara avunje katiba ya nchi na awe mgombea urais wa kudumu huko fisiemu hadi israel atakapomchukua kumpeleka huko jehanam?!
 
wewe mtoa mada umeitoa vema ila uwe unaaingalia pia upande wa pili wa coin,Demokrasi inayoiongelea hapo juu kwa sasa haipo ndani ya nchi yetu,ccm imekuwa chama dola, kama chama cha kisiasa hakiwezi kuuza sera zake,kufanya mikutano ya kisiasa ni chama mfu haya ndio tunayoyaona sasa na ni sisi wenyewe tutakapoanza kuandika humu mbona tuna upinzani dhaifu wakati hivi vyama kwa sasa havipewi nafsi ya kujinadi.Hon.LOWASSA kujitangaza vile ni ambition ya kila mwanasiasa ila sio kwamba ndio ameshateuliwa,uteuzi wa wagombea una process zake,u just jump the gun.
 
Kuna kautaratibu kanaanza kuzoeleka hivi sasa kwenye vyama vya siasa ka kuwa na mgombea urais wa kudumu. jambo hili ni hatari sana na ni tishio kwa ustawi na ukuaji wa demokrasia.

CUF ina mgombea wake wa kudumu prof Haruna Lipumba na sasa CHADEMA nayo inaonekana kuwa na utaratibu huo ambapo mh Edward Lowassa ndio mteule wa kudumu wa urais wa chama hicho.

Nimekaa nikitafakari na kujiuliza bila kupata jibu la wapi Tunaipeleka demokrasia kama Taifa.
Hivi karibuni, akiwa Kenya kushiriki mazishi ya waziri mmoja mwenye asili ya kimasai, Aliyekuwa mgombea urais mwaka 2015 kwa tiketi ya chadema Edward Lowassa alieleza kuwa atagombea tena urais kwa tiketi ya chama hicho hali inayoashiria kuwa hii ni style mpya kwa nchi yetu ambapo tunakuwa na wagombea urais wa kudumu.

Maswali ya kufikirisha.
1. je hakuna vikao rasmi ambavyo vinahusika kuchakata wagombea wa urais na nafasi zingine za kisiasa kwenye vyama hivi? mfano kamati kuu ya chadema, baraza kuu la cuf, na mkutano mkuu wa vyama hivyo? unashauriwa na mkeo usiku asubuhi yake unatekeleza?
2. katiba za vyama hivi zinasemaje kuhusu suala la hili?
3. ndio aina ya demokrasia mpya kwa nchi yetu?
4. hizi kelele za kunyooshea wengine kuwa madikteta, kwanini tusingeondoa mabanzi kwenye macho yetu kwanza ndio tuwanyooshee wengine?

karibuni kwa mjadala. matusi NOOO
kumbe upo nilidhani umetangulia Chato!
 
Iacheni chadema ijiamulie maamuzi yake yenyewe au mnafikir mkija kuandika huku JF ndyo mgombea wa kudumu atatolewa?
 
Kutangaza nia sio mbaya pia kuna taratibu za chama katika kumsimamisha mgombea wa ngazi husika ...hata msimu uliopita taratibu zilifuatwa
 
Back
Top Bottom