Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Kwa heshima ambayo Dr. Slaa imejijengea katika taifa letu na hata kwa wabunge wa Chadema na CCM kuna uwezekanno mkubwa kuwa Chadema watatoa spika wa bunge mwaka huu.
Dr. Slaa anao mtandao mpana ndani na nje ya chama chake. Pia kuna mtandao wa vijana ambao Zitto anao ndani na nje ya Chadema. Ni dhahiri kuwa uspika kutoka Chadema ni jambo la kutegemewa sana. Kama hii haitoshi, wabunge aina ya Mwakyembe, Sitta, Kilango Malecela na wapigaji wengine ndani ya CCM hawawezi kamwe kumpigia Anna Makinda kura ambaye ataendeshwa na wakubwa wa CCM wanaotetea ufisadi. Bado kuna wabunge wa Chadema waliokihama chama chao na kuingia CCM nao wanamtandao mpana ndani ya CCM. wote hawa wataleta kura za uspika kwa Chadema. Huu ni mwaka wa ushindi.
Dr. Slaa anao mtandao mpana ndani na nje ya chama chake. Pia kuna mtandao wa vijana ambao Zitto anao ndani na nje ya Chadema. Ni dhahiri kuwa uspika kutoka Chadema ni jambo la kutegemewa sana. Kama hii haitoshi, wabunge aina ya Mwakyembe, Sitta, Kilango Malecela na wapigaji wengine ndani ya CCM hawawezi kamwe kumpigia Anna Makinda kura ambaye ataendeshwa na wakubwa wa CCM wanaotetea ufisadi. Bado kuna wabunge wa Chadema waliokihama chama chao na kuingia CCM nao wanamtandao mpana ndani ya CCM. wote hawa wataleta kura za uspika kwa Chadema. Huu ni mwaka wa ushindi.