Mbona uoga mwingi,achane CHADEMA ifanye inayo yataka as long as mnajua kwa vyovyote vile mtashinda!Kama mnaaamini Chadema itapigwa mbona mnapiga magoti?mbona wasanii weng?mbona malori ya kubeba watuHata wakiagiza za Amsterdam watapigwa tu
Umeolewa ama bado unapuyanga?
(Mbona hunijibu hili swali kila siku unalikimbia?)
Ninyi mlisema Chadema kimeshakufa sasa HAPO VIPI?Lissu anajua hawezi kushinda kila siku anazua uongo mtupu, alishamtukana Nyerere na akaenda Butiama kimyakimya kuomba radhi bila hata kusema kwa waandishi kwamba ameenda kuomba radhi kwa kashfa zile, kifupi Lissu ni chizi tu
Lissu anajua hawezi kushinda kila siku anazua uongo mtupu, alishamtukana Nyerere na akaenda Butiama kimyakimya kuomba radhi bila hata kusema kwa waandishi kwamba ameenda kuomba radhi kwa kashfa zile, kifupi Lissu ni chizi tu
Kutaagiza kutoka viwanda vyenu,vile elfu ngapi vile?Hata wakiagiza za Amsterdam watapigwa tu
Watanzania tuu wamoja tusibaguane,kwa itikadi,ukabila,dini Wala rangi.Kuna ccm mwenye hoja?
Mkuu mwenyewe ameanza sera za kunadi wanawake kwa rangi
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Magufuli akipewa nafasi tena nahisi tutasalimiana kwa itikadiWatanzania tuu wamoja tusibaguane,kwa itikadi,ukabila,dini Wala rangi.
Lakini kuna chizi mkuu amepokea mahari ya mamake mzaziLissu anajua hawezi kushinda kila siku anazua uongo mtupu, alishamtukana Nyerere na akaenda Butiama kimyakimya kuomba radhi bila hata kusema kwa waandishi kwamba ameenda kuomba radhi kwa kashfa zile, kifupi Lissu ni chizi tu
Ila kikubwa ukumbuke mgombea wenu ameanza kuomba kura kwa kupiga magoti.sijajua nini kinamsukuma afanye hivyo.Chadema hawana hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura kuwachagua.
Watanzania wako huru, wao wanaenda kuwaambia watawaletea uhuru! CCM inawaambia vitu specific ilivyofanya na inavyopanga kufanya. Wasilaumu kalamu,obviously CCM itashinda...
Ni kiongozi mnyenyekevuIla kikubwa ukumbuke mgombea wenu ameanza kuomba kura kwa kupiga magoti.sijajua nini kinamsukuma afanye hivyo.
Aaaah wapi pisi Kali langu nipo njian kutoka mahali ni chukue pisi Kali languNani? Bia Yetu Mke wangu?
Kuna ccm mwenye hoja?
Mkuu mwenyewe ameanza sera za kunadi wanawake kwa rangi
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Na kweli naona damu zikutoka we popomaKenge ni kenge tu.....damu zinatoka masikioni
Bora aliyewatukana kuliko huyu ambae kawafunga mashekhe 200aliwatukana waislam