Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,925
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…Chadema hawana hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura kuwachagua.
Watanzania wako huru, wao wanaenda kuwaambia watawaletea uhuru! CCM inawaambia vitu specific ilivyofanya na inavyopanga kufanya. Wasilaumu kalamu,obviously CCM itashinda...
Sent using Jamii Forums mobile app