Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Haka kachama kadokgo ka kikabila kidogo na vikanisa fulani Utafananisha na bajeti ya lichama likubwa lisilo na dini wala ukabila kama CCM, nyie watu wachadema kweli mnachekesha!
Viongozi wenu hawajasoma nanyie wafuasi pia mnaonekana mbumbumbu, Mbowe kafeli darasani, Mchungaji slaa kajisomea kitabu cha nabii paul akafanya mtiani, kweli hawa ndio tuwakabidhi nchi??? You must be jocking guys!!
here again na ucgafuzi wako..Hivi hizi fujo zako zinakusadia nini wewe?kwanini usifanye mambo yako,hivi utashindana na CHADEMA na Mbowe utaweza?Unapotezam muda wako buree na kujipa presha ambayo ungeweza kuiepuka.Huwezi kushindana na Mbowe hata kidogo,ulishashindwa kitambo..