Elections 2010 CHADEMA Kutumia 5bn/- tu Kwenye Uchaguzi!

Haka kachama kadokgo ka kikabila kidogo na vikanisa fulani Utafananisha na bajeti ya lichama likubwa lisilo na dini wala ukabila kama CCM, nyie watu wachadema kweli mnachekesha!

Viongozi wenu hawajasoma nanyie wafuasi pia mnaonekana mbumbumbu, Mbowe kafeli darasani, Mchungaji slaa kajisomea kitabu cha nabii paul akafanya mtiani, kweli hawa ndio tuwakabidhi nchi??? You must be jocking guys!!

here again na ucgafuzi wako..Hivi hizi fujo zako zinakusadia nini wewe?kwanini usifanye mambo yako,hivi utashindana na CHADEMA na Mbowe utaweza?Unapotezam muda wako buree na kujipa presha ambayo ungeweza kuiepuka.Huwezi kushindana na Mbowe hata kidogo,ulishashindwa kitambo..
 
Sijui JK atakuja na kaulimbiu ipi this time, maana alikuja na ile ya MAISHA BORA KWA KILA MTZ, baada ya kuona hajawaletea maisha bora watz akabadili usemi, eti MAISHA BORA HAYAJI KWA KUKAA KIJIWENI!

Au Maisha bora hayaji kwa kumsubiri KIKwete ,changamka chukua chako mapema
 
Back
Top Bottom