CHADEMA kutoka kupinga ufisadi hadi kuwa chama kulalamika

DITOPILE WAPILI

JF-Expert Member
Oct 19, 2015
376
256
Chadema iliyofanya operesheni SANGARA ya kupinga ufisadi kwa sauti kali, sasa kimekuwa chama kulalamika tu, hakuna hoja za msingi, Sasa hivi wanalalamika utendaji kazi wa MKUU WA MKOA WA DSM - PAUL MAKONDA pamoja na KESI YA LEMA.

Umefika muda sasa CHADEMA kujenga hoja zenye mashiko, badala ya kukimbilia kukosoa utendaji kazi wa SERIKALI YA JPM, ukweli kuna mambo yanakosolewa kwa hoja nyepesi kabisa, huu ni wakati wa kujipanga upya CHADEMA.
 
Chadema walipobadili gia angani walibadili kila kitu hadi akili zao.

Laana ya kuuza chama kwa mafisadi itawagalimu vizazi vyao vyote
 
Chadema iliyofanya operesheni SANGARA ya kupinga ufisadi kwa sauti kali, sasa kimekuwa chama kulalamika tu, hakuna hoja za msingi, Sasa hivi wanalalamika utendaji kazi wa MKUU WA MKOA WA DSM - PAUL MAKONDA pamoja na KESI YA LEMA.

Umefika muda sasa CHADEMA kujenga hoja zenye mashiko, badala ya kukimbilia kukosoa utendaji kazi wa SERIKALI YA JPM, ukweli kuna mambo yanakosolewa kwa hoja nyepesi kabisa, huu ni wakati wa kujipanga upya CHADEMA.
Hamtaki akosolewe sio , haya atekeleze ahadi ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo na aanze walau msingi wa kiwanda kimoja ili tujue anatupeleka Tanzania ya Viwanda ...
 
Hamtaki akosolewe sio , haya atekeleze ahadi ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo na aanze walau msingi wa kiwanda kimoja ili tujue anatupeleka Tanzania ya Viwanda ...
Tatizo mnakosa subira ndiyo maana hoja zenu hazina nguvu..... Kuwa na subira, Muda ukifika tutasema kama viwanda vimejengwa au havikujengwa, lakini sio kila jambo kuliendea kwa pupa.
 
Mbona mnaweweseka Sana thread moja ujamaliza unaanzisha nyingine hivi Kati ya Chadema na Ccm wapi wana stress? Naona Ccm maana si kwa izo Mada. Na mnazidi kuvurugwa hampati majibu mnayoyakusudia na bado
 
Back
Top Bottom