CHADEMA kutoka chama cha ukombozi hadi kuwa chama kupinga kila kitu na kulalamika.!

Mwasita Moja

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,904
2,580
Wadau amani ya bwana.
Tangu mwaka 2008 Chadema iligeuka speaker ya wanyonge na kimbilio la wasio na sauti. Hiki chama kilitetea wanyonge kwa maneno na matendo.

Ghafla mwezi wa 9/2015 ,Chadema ikauzwa kwa Lowasa na Katibu mkuu Slaa akatangaza kuacha siasa. Tangu siku hiyo chadema kimekuwa chama cha kulialia ,kutetea mafisadi na maovu yote ya nchi hii ikiwemo mashoga na madawa ya kulevya!!!!
Chadema ya leo wanapinga elimu bure, kuhamia Dodoma, ujenzi wa reli, ununuzi wa ndege, unununuzi wa madawati!!!!
Vita zidi ya madawa ya kulevya wanapinga!!!

Hivi sababu ya chadema kugeuka chaka la kutetea maovu na kupinga maendelo ya wananchi ni nini??
 
Wadau amani ya bwana.
Tangu mwaka 2008 Chadema iligeuka speaker ya wanyonge na kimbilio la wasio na sauti. Hiki chama kilitetea wanyonge kwa maneno na matendo.

Ghafla mwezi wa 9/2015 ,Chadema ikauzwa kwa Lowasa na Katibu mkuu Slaa akatangaza kuacha siasa. Tangu siku hiyo chadema kimekuwa chama cha kulialia ,kutetea mafisadi na maovu yote ya nchi hii ikiwemo mashoga na madawa ya kulevya!!!!
Chadema ya leo wanapinga elimu bure, kuhamia Dodoma, ujenzi wa reli, ununuzi wa ndege, unununuzi wa madawati!!!!
Vita zidi ya madawa ya kulevya wanapinga!!!

Hivi sababu ya chadema kugeuka chaka la kutetea maovu na kupinga maendelo ya wananchi ni nini??
NYIE WAKESHA LUMUMBA MNASHIDA SANA. haswa wewe tangu umevunja DISH aka UNGO yani hata kutulia kwa mumeo unashindwa.
 
Wadau amani ya bwana.
Tangu mwaka 2008 Chadema iligeuka speaker ya wanyonge na kimbilio la wasio na sauti. Hiki chama kilitetea wanyonge kwa maneno na matendo.

Ghafla mwezi wa 9/2015 ,Chadema ikauzwa kwa Lowasa na Katibu mkuu Slaa akatangaza kuacha siasa. Tangu siku hiyo chadema kimekuwa chama cha kulialia ,kutetea mafisadi na maovu yote ya nchi hii ikiwemo mashoga na madawa ya kulevya!!!!
Chadema ya leo wanapinga elimu bure, kuhamia Dodoma, ujenzi wa reli, ununuzi wa ndege, unununuzi wa madawati!!!!
Vita zidi ya madawa ya kulevya wanapinga!!!

Hivi sababu ya chadema kugeuka chaka la kutetea maovu na kupinga maendelo ya wananchi ni nini??
Mnajigamba mnahamia dodoma kumbe mnaenda kukaa chuoni na wanafunzi ili mtuharibie dada zetu! ni mwendawazimu tu ndio atasaport huo ujinga
 
Mkuu, be fair. Vyama vya siasa katika Tanzania viko 13 na ushee. Kwa nini mnakazania kuisema Chadema tu?? Sisi wengine tunataka kujua hasa ni kwa nini hii Chadema imewatia mzuka namna hii.. Lazima kuna jambo.
 
Hivi ni kwa nini CHADEMA inawatetea wauza dawa za kulevya?
Muulize nape na Joseph musukuma na wakwambie wauza unga na mafiki wa makonda na dem masogange akiyepangishiwa nyumba kigogo watakwambia wauza unga ni ccm
 
Kwa kweli hongeer
Wadau amani ya bwana.
Tangu mwaka 2008 Chadema iligeuka speaker ya wanyonge na kimbilio la wasio na sauti. Hiki chama kilitetea wanyonge kwa maneno na matendo.

Ghafla mwezi wa 9/2015 ,Chadema ikauzwa kwa Lowasa na Katibu mkuu Slaa akatangaza kuacha siasa. Tangu siku hiyo chadema kimekuwa chama cha kulialia ,kutetea mafisadi na maovu yote ya nchi hii ikiwemo mashoga na madawa ya kulevya!!!!
Chadema ya leo wanapinga elimu bure, kuhamia Dodoma, ujenzi wa reli, ununuzi wa ndege, unununuzi wa madawati!!!!
Vita zidi ya madawa ya kulevya wanapinga!!!

Hivi sababu ya chadema kugeuka chaka la kutetea maovu na kupinga maendelo ya wananchi ni nini??[/QUOTE
Kwa kweli hongerah watanzania kwa kutupilia mbali chama hiki kisicho na dira wala mulekeo. Kinachoendeshwa na matukio! Chama cha kutetea wavunja sheria. wakwepa kodi!
 
Back
Top Bottom