Joan Joel333
Member
- Sep 13, 2012
- 22
- 1
Zifuatazo ni sababu za msingi ambazo kama hazitafanyiwa kazi ikulu hapataingilika,ieleweke wazi kuwa mm siipingi cdm ni mwanachama hia kabisa mpaka mwangu wa miezi 8 ana kadi ya cdm.
3. ssem kuna tetes kuwa watawahujum tena wasom wa elimu ya juu kupanga tarehe ya uchaguzi wakat vyuo vikiwa vimefungwa kama walivyofanya 2005 na kujiandikisha itakuwa wakati vyuo vimefunguliwa ili wengi wajiandikishe halaf washindwe kupiga kura.
tahadharri. wafanye wafanyalo 2015 lazima wazikwe.
- Vjana wengi huwwa hawpigi kra kwani kwenye mikutano wanafika wengi sana lakini cku ya kura misururu mingi ni wazee, kama hili halitabadilika ikulu itakuwa ngumu kuipenda cdm bila kupiga kura ni azi bure,ivo bac ww kijana kura yako ni muhimu sana katka mustakabali mzuri wa taifa letu
- Kwenye kimarisha cdm mbowe slaa na makamanda wote ukifika wakati wa kujiandikaisha tena bac wotetendeni jamani ccm inakera mno
3. ssem kuna tetes kuwa watawahujum tena wasom wa elimu ya juu kupanga tarehe ya uchaguzi wakat vyuo vikiwa vimefungwa kama walivyofanya 2005 na kujiandikisha itakuwa wakati vyuo vimefunguliwa ili wengi wajiandikishe halaf washindwe kupiga kura.
tahadharri. wafanye wafanyalo 2015 lazima wazikwe.