Nasikia leo hii jaji aliyetoa hukumu ameitwa ikulu, kwasababu kwanini hakutekeleza kama alivyoambiwa? Kumpa adhabu mh Lema ya miaka mi5 ya kutojishughulisha na mambo ya siasa. Naona imekula kwa jaji, hata pata fungu alilohaidiwa.
TETESI:
kuna rafiki yangu ni HAKIMU ARUSHA kaniambia kuwa jaji kituo chake cha kazi ni RUVUMA SONGEA na sio kweli kuwa anakimbia ARUSHA baada ya hukumu ya LEMA na kuwa anahofia maisha yake
Jamani, uandishi kweli ni taaluma ya watu!kuna rafiki yangu ni HAKIMU ARUSHA kaniambia kuwa jaji kituo chake cha kazi ni RUVUMA SONGEA na sio kweli kuwa anakimbia ARUSHA baada ya hukumu ya LEMA na kuwa anahofia maisha yake
Inabidi leo nikubaliane na wewe nafikiri ni wewe juzi ulituletea tetesi za kesi ya Lema tukakuambia ni za baa.