CHADEMA kutoa uamuzi wa maamuzi ya Mahakama Jumamosi NMC Arusha

Nasikia leo hii jaji aliyetoa hukumu ameitwa ikulu, kwasababu kwanini hakutekeleza kama alivyoambiwa? Kumpa adhabu mh Lema ya miaka mi5 ya kutojishughulisha na mambo ya siasa. Naona imekula kwa jaji, hata pata fungu alilohaidiwa.

Jaji yule ni mpuuzi sana hana maana yoyote ile. Inawezekana maana kama angemlima kutojishughulisha na siasa miaka mitano wanajua ni lazima Lema angekata rufaa tu lakini kitendo cha Lema kukataa kukata rufaa ni kutokana na hukumu kumpa loophole wa kujishughulisha na siasa na wanajua akigombea atapeta tu.

Wacha walaumiane wenyewe kwa wengewe maana hawajui saizi waanzie wapi.
 
Siasa za Arusha ni ngumu ka jiwe. Kwenye uchaguzi wa Arumeru tulishuhudia mengi. Kama Felix Mrema hajakata tamaa ataingiza timu na anaweza kutoa upinzani wa kutosha.
Uzoefu unaonyesha kwamba katika chaguzi za Arusha mjini CCM walihujumiana na hata huu wa Arumeru wamehujumiana.

lakini mkuu, umaarufu wa ccm unaporomoka kila sekunde
 
Nasikia
leo hii jaji aliyetoa hukumu ameitwa ikulu, kwasababu kwanini
hakutekeleza kama alivyoambiwa? Kumpa adhabu mh Lema ya miaka mi5 ya
kutojishughulisha na mambo ya siasa. Naona imekula kwa jaji, hata pata
fungu alilohaidiwa.

hizi speculation zina base yoyote?
 
Nasikia leo hii jaji aliyetoa hukumu ameitwa ikulu, kwasababu kwanini hakutekeleza kama alivyoambiwa? Kumpa adhabu mh Lema ya miaka mi5 ya kutojishughulisha na mambo ya siasa. Naona imekula kwa jaji, hata pata fungu alilohaidiwa.
Inabidi leo nikubaliane na wewe nafikiri ni wewe juzi ulituletea tetesi za kesi ya Lema tukakuambia ni za baa.
 
Mods plz mtendeeni haki hayati mwalimu Nyerere!
Post za kipumbavu kama hzi ni matusi na dharau kwa mwalimu.
Kumlinganisha Lema na mwalimu,huku mwalimu akiwa hana fursa ya kujibu si tu ni kutumia uhuru wa jf vibaya,bali ni KUKOSA ADABU!
Foolish mtoa mada...
 
I beg to differ. CDM must think big. Wakithubutu tu kukata rufaa kesi itaburuzwa hadi 2015 na ndicho wanachotaka Magamba kwani hata wao wanajua wazi kuwa CDA Arusha hata wakisimamisha punda watashinda. Pamoja na maamuzi mabovu ya mahakama CDM waihimize tume ya uchaguzi iitishe uchaguzi hata kesho, tena bila hata kampeni!

Lakini pamoja na mm kuwa miongoni mwa waumini wa Lema kutokata rufaa ila nataka uelewe kuwa pindi rufaa yake itapokuwa court of appeal Lema ataendelea kuwa Mbunge hadi rufaa itapoaamua vyovyote na kwa jinsi hiyo hawataiburuza hd 2015 zaidi watafanya hila na hukumu ibariki maamuzi na jaji wa leo na anaweza ongezewa adhabu ya kutoshiriki Siasa even 5 yrs..! Twende tu kwny uchaguzi na ni njia itayoendeleza ujenzi wa Chama coz most of the People na wanahabari all over the country wataelekeza macho na masikio yao A-Town na kukipa chama coverage ya kutosha...
 
kuna rafiki yangu ni HAKIMU ARUSHA kaniambia kuwa jaji kituo chake cha kazi ni RUVUMA SONGEA na sio kweli kuwa anakimbia ARUSHA baada ya hukumu ya LEMA na kuwa anahofia maisha yake
 
Hakuna jambolisilo na mwisho,hakuna mshindi usio na vikwazo na hiyo ndiyo safari nzuri ya ukombozi kuelekea mafanikio mema.Lema UTABAKI KUWA MBUNGE katika mioyo ya wana wa Arusha.
 
Nimeeleza sababu kwenye post ikiwemo kusahihisha hukumu isiyo ya haki ili mahakama isigeuzwe kuwa kichaka cha wanasiasa na majaji walafi. Naamini viongozi wa Chadema watajadili hukumu hii na kukata rufaa kwa kuzingatia maelezo niliyoyatoa kwenye post.

Atigi, ulipolalia wewe ndipo tulipoamkia. Kama wamekutuma, kawaambie hujawakuta. Magamba wana mbinu! Hata malaika wa giza anataka kujifanya kuwa Malaika wa nuru. Chadema hatudanganyiki! Hakuna kukata rufaa wala nini, tutawapiga kavu kavu tu kama Naibu alivyopiga kavu kavu mpaka akaibiwa.
 
Siasa za Arusha ni ngumu ka jiwe. Kwenye uchaguzi wa Arumeru tulishuhudia mengi. Kama Felix Mrema hajakata tamaa ataingiza timu na anaweza kutoa upinzani wa kutosha.
Uzoefu unaonyesha kwamba katika chaguzi za Arusha mjini CCM walihujumiana na hata huu wa Arumeru wamehujumiana.
Tatizo je manywele atakubali kundi la mrema wakati huu, kumbuka EL ana nguvu ya hela na anawapeleka sana wenzake ndani ya ccm hatakubali mpinzani wake ateuliwe kugombea kwa sababu atakuwa kapunguza nguvu ya 2015, mi nahisi ni wakati wa Millya kuaibishwa kama mkwewe alivyofanywa
 
don -oba nakubaliana na wewe juzi ulileta uzi hapa kikaja kiinti chupi imekibana kikasema eti ni stori za kwenye bar.
 
Nimepata tetesi ccm haitasimamisha mgombea katika Jimbo la Arusha Sababu ya Ukata....
 
Back
Top Bottom