Tanzania hii nani anakujua wewe mpaka afuatilie maneno yako unajisumbue bure!
Mkuu, acha dharau za watoto wadogo. Wewe nani anakujua?? Hapa tunaheshimiana bila kufahamiana. Au unalazimisha ujulikane kwa ku-post comment ya kitoto kama hiyo?? That was very low, low low!!