Chadema kutamu;msafiri mtlemwa anyanganywa gari alilopewa na zito.halima mdee amgeuka

Status
Not open for further replies.

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Famili ya zito imekuwa na kikao cha dhararua na kuazimia mambo yafuatayo

Kikao hicho kilijadili misaada ya magari ambayo Zitto ametoa kwa baadhi ya vijana wanasiasa ndani ya CHADEMA kwa ajili ya kuwasaidia washinde katika majimbo yao ya uchaguzi. Mmoja kati ya watu hao anatajwa kuwa ni Msafiri Mtemelwa ambaye wakati wa uchaguzi wa ndani ya CHADEMA alikuwa Kampeni Meneja wa Zitto Kabwe kwenye kugombea nafasi ya uenyekiti na hata katika kupanga safu za viongozi wa ngazi zingine ndani ya CHADEMA. Familia ilielezwa kwamba hivi karibuni Msafiri alionekana akiongea na Katibu Mkuu Dr Slaa ofisini. Familia ikaelezwa kuwa alipigiwa simu hivi karibuni na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe. Kutokana na mambo hayo, kikao hicho kilianza kumtilia mashaka kuwa amemgeuka Zitto Kabwe.

Mtoa habari wetu anafafanua kuwa David Kafulila alikieleza kikao kuwa Msafiri Mtemelwa alichangia uteuzi wake kama Afisa utenguliwe kwa kuwa alikuwa mjumbe wa Kikao cha Sekretariati kilichokaa chini ya uenyekiti wa Dr Slaa lakini hakumtetea. Kafulila aliendelea zaidi kukieleza kikao kuwa badala ya kupingana na wajumbe wengine wa sekretariati ili kumnusuru, Msafiri alitoa hoja kwamba atolewe nje ya kikao baada ya kujieleza kwa masaa manne ili maamuzi yaweze kufikiwa. Hivyo, wanafamilia walichukua uamuzi wa kumnyang'anya gari aliyopewa na Zitto Kabwe aina ya Prado. Uamuzi huu umeshatekelezwa kwa Msafiri Mtemelwa kunyang'anywa gari hiyo.

Mwanafamilia huyo anaendelea kudodosa kuwa maadui wa Zitto wanatajwa kuwa ni Freeman Mbowe, Dr Slaa na wakurugenzi wote wa makao makuu ya CHADEMA isipokuwa Msafiri Mtemelwa. Katika orodha hiyo anatajwa pia mfanyabiashara mmoja na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari. Pia wabunge wote wa CHADEMA isipokuwa wawili. Gazeti la jana la Rai limeeleza pia katika kundi la wabunge anayeongoza kwa uadui na Zitto ni Halima Mdee ambaye anatajwa kuwa amewasilisha nyaraka ya tuhumu 22 dhidi ya Zitto Kabwe kwa chama hicho ikiwemo tuhuma zinazohusiana na masuala ya kampuni ya Dowans. Kutajwa kwa jina la Halima Mdee kumethibitisha maelezo ambayo Msaidizi wa Karibu wa Zitto Kabwe, Omar Ilyas aliwahi kuyatoa katika Mtandao wa Jamii Forums, akieleza kwamba yupo mbunge mmoja kijana ambaye alikuwa karibu na Zitto ambaye amemgeuka na kumtuhumu kwa mambo mbalimbali. Omar amekuwa akihusisha mbunge huyo, na jina la Mwafrika katika mtandao huo.
 
Tangu mvurugano ndani ya Chadema ulipoanza, sipati hata raha ya kula. Nchi hii bila mageuzi haitafika popote. Chadema ilijipambanua kama chama ambacho kingeweza kuiweka kando CCM, lakini kwa vurugu hizi sidhani kama hii ndoto itawezekana tena. Ikumbukwe kuwa kazi hii iliwashinda NCCR-Mageuzi, na sasa Chadema. Pengine tusubiri kweli CCM yenyewe ipasuke ili tupate upinzani wa kweli. Inauma sana kuona hali hii. Wote mnaohusika na vita hii iacheni mara moja ili tufaidi matunda ya mageuzi katika Taifa letu.
 
Tangu mvurugano ndani ya Chadema ulipoanza, sipati hata raha ya kula. Nchi hii bila mageuzi haitafika popote. Chadema ilijipambanua kama chama ambacho kingeweza kuiweka kando CCM, lakini kwa vurugu hizi sidhani kama hii ndoto itawezekana tena. Ikumbukwe kuwa kazi hii iliwashinda NCCR-Mageuzi, na sasa Chadema. Pengine tusubiri kweli CCM yenyewe ipasuke ili tupate upinzani wa kweli. Inauma sana kuona hali hii. Wote mnaohusika na vita hii iacheni mara moja ili tufaidi matunda ya mageuzi katika Taifa letu.


Huu ndio UKWELI MCHUNGU, zaidi ya hapo walio kuwepo WAENDELE KUHAMASISHA MAGEUZI MPAKA HAPO LIKITOKEA HILO.
 
Tangu mvurugano ndani ya Chadema ulipoanza, sipati hata raha ya kula. Nchi hii bila mageuzi haitafika popote. Chadema ilijipambanua kama chama ambacho kingeweza kuiweka kando CCM, lakini kwa vurugu hizi sidhani kama hii ndoto itawezekana tena. Ikumbukwe kuwa kazi hii iliwashinda NCCR-Mageuzi, na sasa Chadema. Pengine tusubiri kweli CCM yenyewe ipasuke ili tupate upinzani wa kweli. Inauma sana kuona hali hii. Wote mnaohusika na vita hii iacheni mara moja ili tufaidi matunda ya mageuzi katika Taifa letu.

Wategemea unachokiita wapinzani wa kweli watoke ccm hii? Mie najilia kwa raha zangu maana najua makapi yanakitoa kubaki nafaka halisi!
 
Famili ya zito imekuwa na kikao cha dhararua na kuazimia mambo yafuatayo

Kikao hicho kilijadili misaada ya magari ambayo Zitto ametoa kwa baadhi ya vijana wanasiasa ndani ya CHADEMA kwa ajili ya kuwasaidia washinde katika majimbo yao ya uchaguzi. Mmoja kati ya watu hao anatajwa kuwa ni Msafiri Mtemelwa ambaye wakati wa uchaguzi wa ndani ya CHADEMA alikuwa Kampeni Meneja wa Zitto Kabwe kwenye kugombea nafasi ya uenyekiti na hata katika kupanga safu za viongozi wa ngazi zingine ndani ya CHADEMA. Familia ilielezwa kwamba hivi karibuni Msafiri alionekana akiongea na Katibu Mkuu Dr Slaa ofisini. Familia ikaelezwa kuwa alipigiwa simu hivi karibuni na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe. Kutokana na mambo hayo, kikao hicho kilianza kumtilia mashaka kuwa amemgeuka Zitto Kabwe.

Mtoa habari wetu anafafanua kuwa David Kafulila alikieleza kikao kuwa Msafiri Mtemelwa alichangia uteuzi wake kama Afisa utenguliwe kwa kuwa alikuwa mjumbe wa Kikao cha Sekretariati kilichokaa chini ya uenyekiti wa Dr Slaa lakini hakumtetea. Kafulila aliendelea zaidi kukieleza kikao kuwa badala ya kupingana na wajumbe wengine wa sekretariati ili kumnusuru, Msafiri alitoa hoja kwamba atolewe nje ya kikao baada ya kujieleza kwa masaa manne ili maamuzi yaweze kufikiwa. Hivyo, wanafamilia walichukua uamuzi wa kumnyang'anya gari aliyopewa na Zitto Kabwe aina ya Prado. Uamuzi huu umeshatekelezwa kwa Msafiri Mtemelwa kunyang'anywa gari hiyo.

Mwanafamilia huyo anaendelea kudodosa kuwa maadui wa Zitto wanatajwa kuwa ni Freeman Mbowe, Dr Slaa na wakurugenzi wote wa makao makuu ya CHADEMA isipokuwa Msafiri Mtemelwa. Katika orodha hiyo anatajwa pia mfanyabiashara mmoja na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari. Pia wabunge wote wa CHADEMA isipokuwa wawili. Gazeti la jana la Rai limeeleza pia katika kundi la wabunge anayeongoza kwa uadui na Zitto ni Halima Mdee ambaye anatajwa kuwa amewasilisha nyaraka ya tuhumu 22 dhidi ya Zitto Kabwe kwa chama hicho ikiwemo tuhuma zinazohusiana na masuala ya kampuni ya Dowans. Kutajwa kwa jina la Halima Mdee kumethibitisha maelezo ambayo Msaidizi wa Karibu wa Zitto Kabwe, Omar Ilyas aliwahi kuyatoa katika Mtandao wa Jamii Forums, akieleza kwamba yupo mbunge mmoja kijana ambaye alikuwa karibu na Zitto ambaye amemgeuka na kumtuhumu kwa mambo mbalimbali. Omar amekuwa akihusisha mbunge huyo, na jina la Mwafrika katika mtandao huo.
upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm........... J k Nyerere.
 
Tangu mvurugano ndani ya Chadema ulipoanza, sipati hata raha ya kula. Nchi hii bila mageuzi haitafika popote. Chadema ilijipambanua kama chama ambacho kingeweza kuiweka kando CCM, lakini kwa vurugu hizi sidhani kama hii ndoto itawezekana tena. Ikumbukwe kuwa kazi hii iliwashinda NCCR-Mageuzi, na sasa Chadema. Pengine tusubiri kweli CCM yenyewe ipasuke ili tupate upinzani wa kweli. Inauma sana kuona hali hii. Wote mnaohusika na vita hii iacheni mara moja ili tufaidi matunda ya mageuzi katika Taifa letu.

kaka Manyerere Jackton maneno yako mazito sana. Nami nikifikiria kwa kina naumia sana,
 
Last edited by a moderator:
Tangu mvurugano ndani ya Chadema ulipoanza, sipati hata raha ya kula. Nchi hii bila mageuzi haitafika popote. Chadema ilijipambanua kama chama ambacho kingeweza kuiweka kando CCM, lakini kwa vurugu hizi sidhani kama hii ndoto itawezekana tena. Ikumbukwe kuwa kazi hii iliwashinda NCCR-Mageuzi, na sasa Chadema. Pengine tusubiri kweli CCM yenyewe ipasuke ili tupate upinzani wa kweli. Inauma sana kuona hali hii. Wote mnaohusika na vita hii iacheni mara moja ili tufaidi matunda ya mageuzi katika Taifa letu.

Tambueni huu ni uasi ndani ya chama kuna vijitu vinatumiwa kutaka madaraka ndani ya chama ni sawa na kuanzisha mkakati wa kumpindua mwenyekiti wa maccm yupo madarakani watu waanze mpango wa kumwondoa.
 
Tangu mvurugano ndani ya Chadema ulipoanza, sipati hata raha ya kula. Nchi hii bila mageuzi haitafika popote. Chadema ilijipambanua kama chama ambacho kingeweza kuiweka kando CCM, lakini kwa vurugu hizi sidhani kama hii ndoto itawezekana tena. Ikumbukwe kuwa kazi hii iliwashinda NCCR-Mageuzi, na sasa Chadema. Pengine tusubiri kweli CCM yenyewe ipasuke ili tupate upinzani wa kweli. Inauma sana kuona hali hii. Wote mnaohusika na vita hii iacheni mara moja ili tufaidi matunda ya mageuzi katika Taifa letu.

Nikosolewe kama nitakosea, kwenye red, bold na underline hapo, sio kuwa Mwl. Nyerere alisema hayo? Ukweli ndiyo maana mimi sishobokei sana masuala ya Vyama vya Upinzani vilivyopo - wote ni Makanjanja, ni kama NGOs za watu binafsi tu! Chama cha Kisiasa cha kuitoa CCM Madarakani bado kupatikana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom