Chadema kutaka maelezo toka wabunge 10 ambao hawakuja Bungeni wakati wa "walkout'

Status
Not open for further replies.

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu lisu.itisha hata maandamano sisi vyuo vikuu ametutia kinyaa huyo zito.pia amehujumu chama kigoma.hajawahi kubatilisha kauli yake kumsaidia kafulila.pia ni yeye alikuwa nyuma ya mafanikio ya nccr.huyu ni kansa tukimlea tutakuja kukata mguu mzima
 
weka vizuri basi thread yako! hujaeleweka...Kimenenwa nini na comrade Tundu?
 
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu lisu.itisha hata maandamano sisi vyuo vikuu ametutia kinyaa huyo zito.pia amehujumu chama kigoma.hajawahi kubatilisha kauli yake kumsaidia kafulila.pia ni yeye alikuwa nyuma ya mafanikio ya nccr.huyu ni kansa tukimlea tutakuja kukata mguu mzima

ikiwa ni hivyo CDM watakuwa wamenifanya nijione mshindi maana huchukizwa sana na vibaraka wa ccm
ndani ya CDM, kwani hatuko hapa kucheza bali ni kupigania taifa letu, maamuzi magumu ya huyu kijana
ni muhimu sana

hata hivyo mkuu hebu chanzo tafadhari:
 
According to TBC 1 tundu lisu amesema watawaandikia barua wabunge wote ambao hawakuingia bungeni siku ambayo wabunge wa Tanzania walipotoka ndani ya bunge baada ya RAHISI WA WADANGANYIKA alipotaka kuanza kudanganya, kila mmja ajieleze alikuwa wapi wakati wenzao wanatoka bungeni?
 
Umefika wakati wa Zitto Kabwe kuondoka CHADEMA, hana maana yoyote! Tangu aingizwe kwenye Tume ya Kuchunguza Mikataba ya Madini Zitto amekuwa haeleweki kwa kauli zake. Hivi karibuni ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kudai eti kwamba haku-support kutoka nje ya ukumbi wa bunge! Sasa yeye ni msemaji wa Chama mpaka aanze kuita waandishi wa habari? Kama anataka kuhamia CCM kwani kuna mtu amemkataza? Kuwasaliti watu wenye nia njema ni jambo la hatari sana, hata mambo aliyoyapigania kuhusu Buzwagi hayana maana tena, afadhali angekaa kimya tu!
 
Good, nilikuwa nishachoka na vituko vya zito mi naona wamvue uanachama tuu. Zito atakipeleka Chama pabaya
 
According to TBC 1 tundu lisu amesema watawaandikia barua wabunge wote ambao hawakuingia bungeni siku ambayo wabunge wa Tanzania walipotoka ndani ya bunge baada ya RAHISI WA WADANGANYIKA alipotaka kuanza kudanganya, kila mmja ajieleze alikuwa wapi wakati wenzao wanatoka bungeni?

kweli wewe mfarisayo maana maneno yako yana ukweli kabisaaa kwa wadanganyika. Na jamaa alidanganya sio mchezo akamalizia na mipasho na rafikiye yule mama asiyejua SADC ni nini.
 
Zitto atimuliwe CDM harafu akose ubunge jamaa yake ampe nafasi za ubunge ambazo wazeee wanamkataza asiweke wahuni wenzake ndo maana bado amezishikilia.
 
huyu jamaa hata mimi nilimshtukia alipomsifu jk kwamba amefanya maendeleo jimboni kwake ? kwa hiyo Mbowe na wenye nia njema na taifa hili wawe macho na huyu maana ni mwibaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!








acha tu ipo siku tutajua nani chuya nani mchele:hungry:
 
Hakuna mtu aliye juu ya sheria ndani ya CDM, Zitto hakuwa analijua hilo alitegemea umaarufu wake ndio unakibeba chama, wakati wake wakuondoshwa umefika, Hongera chadema kwa hatua hiyo
 
umaarufu upi mbele ya mnyika,mdee,silinde, wenje,nyerere,na lisu! Anamzidi kamanda wa anga mbowe umaarufu? Au anamzidi dr slaa? Sasa ajue kuwa si lolote.atemwe aondoke.aende akanyonye kwa rostamu,yeye na mbatia.
 
Zitto ni kama Kikwete, urafiki wake na wenzie unazidi itikadi za chama na ustawi wa taifa kwa ujumla inabidi aangaliwe kwa jicho la kutia uzi sindano... la sivyo madhara yake yatakuja kuonekana siku!
 
Umefika wakati wa Zitto Kabwe kuondoka CHADEMA, hana maana yoyote! Tangu aingizwe kwenye Tume ya Kuchunguza Mikataba ya Madini Zitto amekuwa haeleweki kwa kauli zake. Hivi karibuni ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kudai eti kwamba haku-support kutoka nje ya ukumbi wa bunge! Sasa yeye ni msemaji wa Chama mpaka aanze kuita waandishi wa habari? Kama anataka kuhamia CCM kwani kuna mtu amemkataza? Kuwasaliti watu wenye nia njema ni jambo la hatari sana, hata mambo aliyoyapigania kuhusu Buzwagi hayana maana tena, afadhali angekaa kimya tu!


Excellent, Zitto sasa Kabweka, halafu huyu ana sifa gani zaidi ile ya Buzwagi ndio kapata kasifa kapata kichwa hilo, ana akili ndogo bado huyu, atoke haraka CHADEMA mm nisimkute
anajua nini? Dr Slaa kamfundisha even how to answer & asking questions bungeni,
yaani sasa anaropoka hovyo ktk vyombo vya habari kama yy ni msemaji wa CDM. ananikera haka kadogo, mm nafikiri tumchape viboko 3 vya nguvu asipojirekebisha
atoke haraka, we don't care ana deviate away sana huyu
 
kosa la mwaka, chadema kumuondoa naibu kambi ya upinzani ZItto. sisi watz tutahoji kulikoni?tutapapasa kunanini. na mwishowe tutao kauli sio bure, na mwishowe ni pigo kwa Chadema
Mbona kaborou aliondoka? Na bado kipo! Kwanza umaarufu wake ni wa jina tu lilivyokaa linamletea umaarufu kama Mwaikimba..hana chochote!
 
Mbona kaborou aliondoka? Na bado kipo! Kwanza umaarufu wake ni wa jina tu lilivyokaa linamletea umaarufu kama Mwaikimba..hana chochote!

So, Do u mean Zito ni kama hiyo ya Blue???? Aaaaaaah, Mtake radhi kaka.....Bro' Zito kakosa (may be) so kama akirealize hilo na kuomba radhi sidhani kama hadiserve a 2nd chance....Anyway yeye mwenyewe Zito analijua hili swala kiundani na may be its time up akalitolea ufafanuzi ili asipoteze hii mass inayoloose loyalty yake kwa Chama.....
 
Zitto tatizo lake kujiweka kwenye kundi la kujiona kuwa kashafanikiwa kisiasa wkt bado ni mtoto ktk siasa.a traitor must be killed!!
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom