Chadema kutaka maelezo toka wabunge 10 ambao hawakuja Bungeni wakati wa "walkout'

Status
Not open for further replies.
kosa la mwaka, chadema kumuondoa naibu kambi ya upinzani ZItto. sisi watz tutahoji kulikoni?tutapapasa kunanini. na mwishowe tutao kauli sio bure, na mwishowe ni pigo kwa Chadema
Umeshapata ulichokitaka, "Rais wa tume". Waache wenye mapenzi mema wajadili mustakabali wa chama chao.
Ati sio mdini ni muislam!!!! Nani kakuuliza? Wasio wadini hawaongelei dini zao wala za wenzao. Walio wadini hawaishi kuzungumzia udini katika kila jambo, mara ooh, baraza la mawaziri lina mabudha wangapi? Mara, mbona makatibu wakuu wengi ni wahindu? Dini ni imani ya mtu iachwe kama ilivyo. Kwa wenye kudhani dini ndio usawa, utu na udugu kama wengi wenu, mbona watu wa dini moja wanabaguana na kuuana. Mbona hakuna waarabu weusi, licha ya watu weusi wengi kuchukuliwa utumwani huko?
Acheni kueneza chuki za kibaguzi kwa maslahi binafsi. Mlaaniwe na kizazi chenu enyi mnaolifanya taifa kuwa lenye machafuko ya kibaguzi.
 
Zitto bado machine na akiondoka Chadema atawapa nguvu upinzani maana wana uwezo wa kumuwezesha, ole wenu chadema hata nyinyi mmeanza kuvurugana na ni mwanzo wa anguko lenu mtakuwa kama NCCR, TLP wako wapi sasa?
 
Zitto bado machine na akiondoka Chadema atawapa nguvu upinzani maana wana uwezo wa kumuwezesha, ole wenu chadema hata nyinyi mmeanza kuvurugana na ni mwanzo wa anguko lenu mtakuwa kama NCCR, TLP wako wapi sasa?


Zitto ataondoka na CHADEMA itabaki imara!!! Wenye hofu ni ninyi mamluki!!!!
 
CHADEMA NI TASISI TENA TASISI KUBWA INAYOUNDWA NA WATANGANYIKA,WATANZANIA WENYE MLENGO CHANYA WA MAENDELEO YA UKWELI,NI TAASISI INAYOKUWA SIKU HADI SIKU TENA INAONGOZWA KWA MSINGI YA SHERIA NA TARATIBU ZAKE HAKUNA SEHEMU HATA MOJA NDANI YA KATIBA YA CHADEMA ISEMAYO MTU MMOJA MMOJA YUPO JUU YA SHERIA.YOYOTE YULE ANAEKIUKA ,ANAEVUNJA SHERIA LAZIMA AWAJIBIKE AMA AWAJIBISHWE NA HASA KAMA KWA MASLAHI YA CHAMA VEMA ARUDISHE KADI AONDOKE NA KUKIACHA CHAMA NA WANACHAMA WATIIFU NA WANAOWAJIBIKA.nampenda Sir Furgason wa Man united daima anasema Hakuna mtu mkubwa wala maarufu zaidi ya klabu.ndivyo hivyo Hakuna mtu Maarufu zaidi ya CHADEMA.
 
Inashangaza sana kuona baadhi ya watanzania wana upeo mdogo sana!! Au ndo mapenzi binafsi mliyonayo kwa Zitto kama mnavyoipenda sura ya JK?

Kwa maoni yangu makosa ya Zitto hayavumiliki, ingekuwa ni CCM basi wangemvua hata uanachama (kumbukeni Mh. Sitta alivyotaka kuvuliwa uanachama na CCM kwa kuweka mbele matakwa yake kwenye uendeshaji wa bunge huku akijua anakidhoofisha chama kilichomuweka pale).

Wakati mwingine tunahitaji watu jasiri na wenye uwezo wa kuchukua maamuzi magumu kama Mwl. Nyerere, unamtimua Zitto kisha Chama kinaendelea na mambo mengine ya msingi!!
 
Zitto ni mapepe na mropokaji asiyefaa kuvumiliwa.

1. Mara aseme kuwa siasa kwake si kipaumbele, anataka kuwa mhadhiri (kufundisha chuo kikuu)
2. Tena ajishaue anataka kugombea urais mwaka 2015, katikati ya kampeni za 2010 wakati anaona kuwa katibu wake Dr. Slaa anagombea.
3. Alitangatanga kwa kusema atagombea kati ya Kinondoni, Geita au Kigoma kaskazini huku akiwa ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini. Hii inatoa ujumbe gani kwa wapiga kura wake na wananchi kwa ujumla.
4. Anatangaza hadharani atamuunga mkono Kafulila akigombea ubunge kupitia NCCR wakati yeye ni kiongozi wa CHADEMA. Hata kama Kafulila ni rafiki yake, kiongozi bora na makini asingeweza kutamka hilo hadharani.
5. Alikurupuka kugombea uenyekiti wa chama huku akiwa mchanga kimawazo na kiuongozi, na kupuuza thamani ya mchango wa mwenyekiti wake Mbowe katika kukijenga na kukiimarisha chama.
6. Karopoka anataka kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni kabla hata ya kikao cha chama chake kuamua mfumo watakaotumia kuunda kambi ya upinzani.
7. Karopoka kwenye vyombo vya habari kuwa hakuunga mkono maadhimio ya wabunge wa chama chake kususia hotuba ya Kikwete, wakati huohuo akijikanganya kwa kusema kuwa aliona bora asihudhurie kabisa. Ulazima wa kusema hadharani, tena kupitia TBC1 ulikuwa wapi?
8.Karopoka juu ya msimamo wake kuhusu mitambo ya Richmond

Kwa ujumla ni mropokaji, mapepe, mtu wa kujishaua na mchanga kimawazo. Hajatulia na wala hakuna haja ya kumpepea isipokuwa kumtimua asije akaendelea kuvuruga chama kilichoonesha nia ya dhati kuleta mabadiliko chanya Tanzania.
 
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu lisu.itisha hata maandamano sisi vyuo vikuu ametutia kinyaa huyo zito.pia amehujumu chama kigoma.hajawahi kubatilisha kauli yake kumsaidia kafulila.pia ni yeye alikuwa nyuma ya mafanikio ya nccr.huyu ni kansa tukimlea tutakuja kukata mguu mzima

Ohh,
kumbe mlengwa ni Zitto Kabwe?
'Sacrificial lamb,' Kama Chacha Wangwe!

-“Society is a republic. When an individual tries to lift themselves above others, they are dragged down by the mass, either by ridicule or slander.”-




https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/14941-chacha-wangwe-vs-chadema-10.html

Bendera fata upepo.
Binadamu siku zote tunaunafiki wa kusema mazuri wakati wa obituaries tu.
haiwezekani kukosoana bila kuhitilafiana?

Wake up!!!
 
Huyu jamaa alisema siasa sio chaguo lake; kwamba anataka kusoma ili aje awe lecturer. Sasa kila uchaguzi ukikaribia anasema "wazee wameniomba nigombee tena", anaahirisha adhma yake ya kuachana na siasa. Sasa naona amekuja kivingine ili afukuzwe apate sababu ya kuachana na siasa. Afukuzwe akasome aje awe lecturer pale MUM.
 
I think Zito is drunk with his misplaced popularity. CDM is doing the right thing by giving a long rope. If they were to sack him too soon he would get symphathetic votes. Give him a bit of more time to entangle himself and then they should get rid of him.

:teeth:
 
Kale ka Zito hakakubaliani ni hii definition hivyo hana budi kuondolewa uanachama wa CHADEMA: Ni kibaraka 100%. A political party is a political organization subscribing to a certain ideology or formed around very special issues. In party-list proportional representation, parties (and sometimes multi-party cartels) can play a functional role in the voting system. Individuals who are members of political parties defend the party's values and/or platform, and also sometimes contribute efforts that benefit the party.
 
Malara Sugu Kosa gani la mwaka??? Zito si Mungu wa CDM! Heri wachawi 100! Kuliko mnafiki 1 ! Wakati wa mnafiki huyo kuondoka miongoni mwa wasafi umefika! He have to go now before its too late for him!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom