Chadema kutaka maelezo toka wabunge 10 ambao hawakuja Bungeni wakati wa "walkout'

Status
Not open for further replies.
kosa la mwaka, chadema kumuondoa naibu kambi ya upinzani ZItto. sisi watz tutahoji kulikoni?tutapapasa kunanini. na mwishowe tutao kauli sio bure, na mwishowe ni pigo kwa Chadema

Mtahoji wew na CCM au na nani maana wadau wa siasa za tanzania has wasomi wapo humu JF na ambao wapo nje ya JF hawatofautiani na mawazo ya walioko JF.

Kwa hiyo kuwa specific mtahoji wewe na nani? maana tulishazoea wewe na CCM hata wakati wa Zito kupinga Walk out, mlimtetea au kwa sababu mnampoteza.

Wako wapi kina Lamwai, Kabur, Tambwe etc. mwambieni zito ndo anapotea maana suppoters wake wengi ni watu wenye elimu ambao huwezi kuwapumbaza kirahisi maana wanaujua ukweli.


Peoples Power
 
Zitto Kabwe wa miaka hii siyo zitto aliyezoeleka, nilibaatika kumuona pale Dodoma wakati wa kuapishwa na nikamuona jioni yake nafikiri ameisha ukata kabisa. Hivi wabunge wa Tanzania ni matajiri kuliko nchi yao? Hivi mishiko inapatikana wapi? Kwa nini tusiuze nchi tukagawana mishiko?
 
Wao wenyewe wanajua. Ndio maana Zitto anafanya kazi aliyotumwa na watu wa Kigoma wakati wao wanabuni vichwa vya habari vya kumponda kwenye magazeti waliyoanzisha.
Mbio za sakafuni hizi.

Umeona hee!

- Well, sitaki kuamini kwamba hii habari ni ya kweli I mean Mh. Chiligati aliposema kuwafukuza wabunge wa Chadema waliosusia hotuba ya Rais, tulisema wazi kwamba amepotoka, sasa this from the very Chadema ninashindwa kuamini kwamba ni kweli!



William.
Huwa wenzako hawawazi hivyo!


Zitto kabwe ni msaliti, anataka kuisambaratisha CDM, sisi wapiga kura hatumtaki, alishaonyesha usaliti hakuna haja ya kuendelea kumlea.Aondoke

Umewakilisha mawazo mengi sana ya wanachadema wengi sana, ambao wengi wao asilimia 99% humu JF ni mbumbumbu wa kutupwa, hwana A wala Z wanalolijua kuhusu siasa hasa za chadema

Hayumo wala hakuna yeyote ndani ya chadema hii mwenye nguvu ya kumfukuza Zito kwa lolote lile hivi sasa ,, huyo hayupo, kosa la zito ni kuropoka, lakini si kutokwenda bungeni!!!

Zitto ndiye anayekipa uhani chadema wengi wenu hamji humu, alivyoropoka na kumsifia JK, mimi mwenyewe aliniudhi lakini haina maanda ndiyo kuwa eti hafai kabisa!!! chadema haijafikia level ya kuwa wote wawe ng'ombe ikifika huko basi si chama tena ila mazezeta

Hii taarifa haina ukweli Lissu alisema kuwafurahisha baadhi ya watu

kumbukeni ile dhambi ile ya kuwatenga cuf inaweza ukawatafuna sana, maana baada ya zitto mtaanza Slaa na Mbowe!
 
Huenda kijana anadhani alikibeba chama kwenye kampeni. Kama yupo mbunge wa CDM aliyepata ubunge kupitia Kabwe na anyoshe mkono juu.
Ninavyofahamu ni kuwa CDM ilikuwepo kabla Zito hajawa mbunge na itabaki hata asipokuwepo.
Nadhani suala la kuukosa ukuu wa kambi ya upinzani linamfanya apoteze ustaarabu. Sipati picha angeupata halafu asiingie bungeni.
 
Ni vizuri kupata maelezo yao maana wabunge kama Sugu , Msigwa na wengine walio wachanaga wataona kama nidhamu ni ya upendeleo na pia inatakiwa kupata uhakika wa msimamo wake ukikinzana na wa CHADEMA aonyeshwe mlango
 
Si walitangulia kutoka. Wao ndio wameonyesha walikataa hata kufika ndani ya ukumbi wa Bunge. Sasa hivi sio busara kwa CDM kuanza kutafutana uchawi. Huu ni wakati mzuri kukaa pamoja na kujenga umoja ndani ya chama ili waweze kukabiliana na changamoto nyingi zilizo usoni.
According to TBC 1 tundu lisu amesema watawaandikia barua wabunge wote ambao hawakuingia bungeni siku ambayo wabunge wa Tanzania walipotoka ndani ya bunge baada ya RAHISI WA WADANGANYIKA alipotaka kuanza kudanganya, kila mmja ajieleze alikuwa wapi wakati wenzao wanatoka bungeni?
 
ZiTtO ni MziTo KweLi wA KusOma aLAma za NyakAti,
KaBbWE ni KABwwELA kweLi KweLi Wa KutatHimin KAuLi ZakE,
KabOronGa aoNdokE mimI AshaniBoa.
SaiVi TukO viJanA wENgi Sana Tu TeNa GRadUaTes tuKO miTaaNi tukIeLimiSha Jamii
ili ijeWeke SaWa kwa 2015, AsijionE kuwa yEyE ni SpuerStaa.
AonDokE KamA AmEnuNuliWa na MafisaDi tuonE kama AtenDa Mbali.

PeoPles....................PoWer:A S 114:
 
Zitto tatizo lake kujiweka kwenye kundi la kujiona kuwa kashafanikiwa kisiasa wkt bado ni mtoto ktk siasa.a traitor must be killed!!

Polepole! Usihukumu haraka hivyo! Zito anatembelea hapa, ajisafishe, atueleze kulikoni! Umri mdogo kiasi kile na anaanza kujichimbia kaburi la kisiasa! Maskini Zito! JIREKEBISHE
 
Hakuna kitu kibaya kwa binadamu yeyote kufikiria na kuamini kuwa wewe ni bora kuliko wenzio wote wakiwekwa pamoja. Zito naamini haamini katika umoja, na mtu wa namna hiyo hafai kuwa viongozi. Kwa fikra zake nadhani yeye anaamini kuwa ni mtu muhimu kuliko viongozi wenzie wote na wanachama wote wakiwekwa pamoja, watu wa namna hii wakipata uongozi hugeuka kuwa madikteta. Huyu Zito naamini kuwa ana uwezo wa kushawishi watu lakini hana uwezo kabisa wa kuwa kiongozi. Watu kama akina Hitler walikuwa na uwezo mkubwa wa kushawishi watu lakini kwa kuwa walikuwa hawana uwezo wa kuongoza, matokeo yake waliingiza Dunia katika janga kubwa.

Tabia ya Zito ya kila mara kujiona yeye ni bora zaidi kuliko wengine wote, na kuwa kimbelembele katika kila jambo siyo dalili nzuri, ni mtu wa kuangaliwa sana.
 
wanajamvi,nimefurahishwa mno na tamko la tundu lisu hasa kuhusu msisitizo juu ya zitto kabwe.ni wakati muafaka wa kumtimua huyu kibaraka.aondoke mapema ili akamshukuru vizuri jk.viva tundu lisu.itisha hata maandamano sisi vyuo vikuu ametutia kinyaa huyo zito.pia amehujumu chama kigoma.hajawahi kubatilisha kauli yake kumsaidia kafulila.pia ni yeye alikuwa nyuma ya mafanikio ya nccr.huyu ni kansa tukimlea tutakuja kukata mguu mzima

Kweli nimeanza kuamini sasa mparaganyiko wa CHADEMA upo karibuni na siku zao zinahesabika. Inakuwaje Lissu amwonye Zitto wakati ni boss wake kwenye Chama ? hii yaonyesha nidhamu ndani ya chama haipo. Mungu wangu waokoe hawa watu , siku zao zinahesabika aiseee.
 
Kelele zote zinazopigwa na JK na wengine kuhusu UDINI chanzo chake ni ZITTO,huyu mtu ni mdini,mbinafsi,mchonganishi na mfitinishi mkuu tena siasa zake ni za kuchumia tumbo lake tuu,nawawaonya CHADEMA,hamtakuja kaa salama pamoja na ZITTO,the guy knows better what he is doing...no bad luck...no remorse....no heart feeling everything planned....just to accomplish his mission basi!
 
Waziri anapochunguzwa na ofisa TAKUKURU ina maana yule ofisa huwa ni boss wa yule waziri? Mbona hiyo inahitaji akili kidogo tu? Hujawahi kuhudhuria mafunzo ya jeshi nini? Kule jeshini MP koplo huweza kumwadhibu staff surgent akifanya makosa. Anayeadhibiwa ni mtu siyo cheo. Zito ameambiwa ajieleze kwa kwenda kinyume na kanuni za chama siyo cheo chake. Very simple! Ndugu yangu, hiyo ndiyo maana ya cheo ni dhamana, hakuna aliye juu ya sheria, CHADEMA wanatekeleza kwa vitendo.
 
Ni vizuri kupata maelezo yao maana wabunge kama Sugu , Msigwa na wengine walio wachanaga wataona kama nidhamu ni ya upendeleo na pia inatakiwa kupata uhakika wa msimamo wake ukikinzana na wa CHADEMA aonyeshwe mlango

Mkuu sijakupata vizuri hao akina Mh Sugu na Mh Msigwa waliwachana akina nani?
 
Na ni vizuri akafukuzwa mapema kabla ya 2015, asije tumika na chama kingine kama mtaji wa kisiasa. So afukuzwe sasa alafu TUMLEGEZEE WEEEE mpaka 2015, hamna kitu then Kigoma Kaskazini tunaichukua chadema tena.

1.Yeye ndo alikuwa akitetea mitambo ya DOWANS inunuliwe, eti tutakuja kukaa kwenye giza, NANI KALIONA HILO GIZA TOKEA WASEME yeye na Rashidi??

2.Alipoambiwa atulie asigombee uenyekiti, amuache CHIEF IN COMMAND aendelee, akaanza kuwagawanya wanachama, JE Kikwete bila kuambiwa na Nyerere atulie 1995 JIULIZE TZ INGEKUWA WAPI LEO?? so hata zitto baadae akija kuchaguliwa kuiongoza CHADEMA atafanya kama anayofanya Kikwete leo KAMA MNABISHA JARIBUNI, sisi wanaCCM tutafurahia tu.

3.Yeye ndio alioonekana yupo nyumbani kwa Lowasa, Kenyatta Road kesho yake asubuhi asubuhi tu baada ya kutoa hoja ya Buzwagi.

4.Na tukubaliane, CHADEMA bila Zitto inawezekana, kwanza NATAKA WATANZANIA WAJUE, zile hoja zooote alikuwa anapewa na chama akazizungumze, siyo kwamba alikuwa na source yeyote, so akiondoka TUTAMPA MTU MWINGINE azizungumze.

NAIPENDA CCM, lakini sipendi UONGOZI WA CCM.................... NAIPENDA CHADEMA lakini NAUPENDA NA UONGOZI WA CHADEMA ukiwa BILA ZITTO
 
Umefika wakati wa Zitto Kabwe kuondoka CHADEMA, hana maana yoyote! Tangu aingizwe kwenye Tume ya Kuchunguza Mikataba ya Madini Zitto amekuwa haeleweki kwa kauli zake. Hivi karibuni ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kudai eti kwamba haku-support kutoka nje ya ukumbi wa bunge! Sasa yeye ni msemaji wa Chama mpaka aanze kuita waandishi wa habari? Kama anataka kuhamia CCM kwani kuna mtu amemkataza? Kuwasaliti watu wenye nia njema ni jambo la hatari sana, hata mambo aliyoyapigania kuhusu Buzwagi hayana maana tena, afadhali angekaa kimya tu!

nakubaliana na wwe mkuu zitto ni ugonjwa ndani ya CDM,maana ssa hvi yko karibu zaidi na kina rostam na lowassa!
 
Hawa wazee uliowataja.. Slaa, Mbowe ukiongeza na Ndesamboro walikuwepo bungeni kabla ya Zitto. Na believe me CHADEMA haikuwa maarufu wakato huo kuliko Zitto alivyoingia bungeni. Mtake msitake Zitto ndio amefanya CHADEMA kujulikana zaidi na kuwa maarufu zaidi miongoni mwa vijana. Huyu Slaa alikuwa Bungeni tangu enzi za Nyerere mbona alikuwa hasikiki..tumeanza kumsikia Bunge lilopita tu.

Sasa kama mnathubutu basi jaribuni kumfukuza Zitto kwenye chama muone cha mtema kuni, najuwa hamuwezi ila mnamnyanyasa kwa sababu za ubinafsi tu mkimuundia mizengwe na kumfanyia ujasusi. Mawasiliano yake ( emailis) mnayafuatilia ili mumfanye cha kumfanya. Mlimuandama Wangwe weeeee! mpaka alipojifia! kisa amepingana na mwenyekiti Mbowe sasa mnataka mumfuatilie kijana wa watu huyu. Ila hapa mmegonga ukuta na I repat ''LET CHADEMA SACK ZITTO IF THEY DARE TO DO SO''

Mnajimu Mkuu JF!
 
Umeona hee!

Umewakilisha mawazo mengi sana ya wanachadema wengi sana, ambao wengi wao asilimia 99% humu JF ni mbumbumbu wa kutupwa, hwana A wala Z wanalolijua kuhusu siasa hasa za chadema

Hayumo wala hakuna yeyote ndani ya chadema hii mwenye nguvu ya kumfukuza Zito kwa lolote lile hivi sasa ,, huyo hayupo, kosa la zito ni kuropoka, lakini si kutokwenda bungeni!!!

Zitto ndiye anayekipa uhani chadema wengi wenu hamji humu, alivyoropoka na kumsifia JK, mimi mwenyewe aliniudhi lakini haina maanda ndiyo kuwa eti hafai kabisa!!! chadema haijafikia level ya kuwa wote wawe ng'ombe ikifika huko basi si chama tena ila mazezeta

Hii taarifa haina ukweli Lissu alisema kuwafurahisha baadhi ya watu

kumbukeni ile dhambi ile ya kuwatenga cuf inaweza ukawatafuna sana, maana baada ya zitto mtaanza Slaa na Mbowe!

Zitto ana makosa matatu au zaidi

1. La kwanza ni kutoingia bungeni wakati hilo lilikuwa azimio la chama kwa pamoja na yeye ni kiongozi
2. La pili ni kuropoka kwenye vyombo vya habari na kuonyesha waziwazi kumuunga mkono Kikwete huku akijua huyo alikuwa mpinzani wa mgombea wao wa uraisi
.3 La tatu ambalo ni kubwa zaidi na litakalommaliza kisiasa ni uhusiano wake wa karibu sana na mafisadi

Tusiwe tunatumia the dark side kuwa ngao ya kukinga makosa ya watu....Unpredictabilty
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom