CHADEMA kususia vikao vya bunge kuelekea uchaguzi mkuu ni dalili za kushindwa

Duplicate_90

JF-Expert Member
Mar 29, 2020
272
308
Ni mara kadhaa sasa Chadema wamekuwa wakitoka nje au kususia kabisa vikao vya bunge kwa lengo la kuonesha kutokukubaliana na maswala mbalimbali ndani ya bunge la jmt. Utaratibu huu umekuwa ukileta mgawanyiko mkubwa wa wabunge wa chadema kwa maana ya upande wa wanakubaliana na maamuzi na wasiokubaliana na maamuzi hayo. Hata hivyo wengi wao wamekuwa wakikubaliana na maamuzi hayo kishingo upande kwa kuogopa kufanyiwa fitna kwenye chama. Wapo wanaotegemea posho za kila siku bungeni kulipa mikopo na kugharamia miradi yao. Kundi hili halijawahi kukubaliana na maamuzi hata siku moja!
Je? ✓Chadema haioni inawanyanyasa wabunge hao ambao hawakubaliani na maamuzi hayo?
✓chadema hawaoni wanapswa kubadilisha approach hii kwa kuwa haijawahi kuzaa matunda na haijawahi kuwazuia wabunge wa ccm kuendelea na shughuli zao za kibunge?
✓ je, hawaoni ni muda mzuri kutumia muda huu kuwatetea wananchi wanaowawakilisha hasa kuhusu janga la corona kwa kutumia platform ya bunge?
✓je kwa kususia vikao vya bunge, mbunge wa ccm akifariki kwa corona watafurahi?
✓Ni kwann hata wasihudhurie wachache km wawakilishi kwa tahadhari kubwa hata wakienda wakiwa wamevaa PPE?
Mwisho: huu ni mwaka wa uchaguzi wananchi tukwepe aina hii ya wabunge wanaokimbia majukumu yao!
 
Mbona "MWENYEKITI" wenu amesusia "OFISI ZAKE (Magogoni & Chamwino)" tokea mwezi March mpaka huu mwezi June, ila hamsemi. Au bado likizo ya "PASAKA" inaendelea kwake tu "ZE SPESHO WANI".

Yeye anaogopa "KORONA", kwasababu yeye ni binaadamu inaweza kumdhuru. Ila sisi raia anatuambia tusiogope, kwasababu sisi ni wanyama haiwezi kutudhuru. Acha upunguwani wewe.

Au ndio ile kauli yake ataihamisha "IKULU", ndio imetimia kwa kuihamishia Chatto. Basi kama vipi "BUNGE" na "WIZARA" zote zihamie "CHATTO" ili tujue moja tu.
 
Mbona "MWENYEKITI" wenu amesusia "OFISI ZAKE (Magogoni & Chamwino)" tokea mwezi March mpaka huu mwezi June, ila hamsemi. Au bado likizo ya "PASAKA" inaendelea kwake tu "ZE SPESHO WANI".

Yeye anaogopa "KORONA", kwasababu yeye ni binaadamu inaweza kumdhuru. Ila sisi raia anatuambia tusiogope, kwasababu sisi ni wanyama haiwezi kutudhuru. Acha upunguwani wewe.

Au ndio ile kauli yake ataihamisha "IKULU", ndio imetimia kwa kuihamishia Chatto. Basi kama vipi "BUNGE" na "WIZARA" zote zihamie "CHATTO" ili tujue moja tu.
Kwan kuna shughuli yoyote ya serikali imekwama kwa sababu ya raisi kuwa chato?
 
Tatizo watu husahau, so Mara ya kwanza chadema kususia bungeni.Mwaka 2015 kuelekea uchaguzi Mkuu walisusia pia. Lakini walivyoenda kwenye uchaguzi wakashinda zaidi.
 
Ni mara kadhaa sasa Chadema wamekuwa wakitoka nje au kususia kabisa vikao vya bunge kwa lengo la kuonesha kutokukubaliana na maswala mbalimbali ndani ya bunge la jmt. Utaratibu huu umekuwa ukileta mgawanyiko mkubwa wa wabunge wa chadema kwa maana ya upande wa wanakubaliana na maamuzi na wasiokubaliana na maamuzi hayo. Hata hivyo wengi wao wamekuwa wakikubaliana na maamuzi hayo kishingo upande kwa kuogopa kufanyiwa fitna kwenye chama. Wapo wanaotegemea posho za kila siku bungeni kulipa mikopo na kugharamia miradi yao. Kundi hili halijawahi kukubaliana na maamuzi hata siku moja!
Je? ✓Chadema haioni inawanyanyasa wabunge hao ambao hawakubaliani na maamuzi hayo?
✓chadema hawaoni wanapswa kubadilisha approach hii kwa kuwa haijawahi kuzaa matunda na haijawahi kuwazuia wabunge wa ccm kuendelea na shughuli zao za kibunge?
✓ je, hawaoni ni muda mzuri kutumia muda huu kuwatetea wananchi wanaowawakilisha hasa kuhusu janga la corona kwa kutumia platform ya bunge?
✓je kwa kususia vikao vya bunge, mbunge wa ccm akifariki kwa corona watafurahi?
✓Ni kwann hata wasihudhurie wachache km wawakilishi kwa tahadhari kubwa hata wakienda wakiwa wamevaa PPE?
Mwisho: huu ni mwaka wa uchaguzi wananchi tukwepe aina hii ya wabunge wanaokimbia majukumu yao!
Mbowe ni muhuni tu anawaswaga wabunge wa chadema Kama ng'ombe wake kwa maslahi yake binafsi sio kwa maslahi ya wapiga kura na ole wake mbunge akatae kupelekeshwa atajuta
 
Ni mara kadhaa sasa Chadema wamekuwa wakitoka nje au kususia kabisa vikao vya bunge kwa lengo la kuonesha kutokukubaliana na maswala mbalimbali ndani ya bunge la jmt. Utaratibu huu umekuwa ukileta mgawanyiko mkubwa wa wabunge wa chadema kwa maana ya upande wa wanakubaliana na maamuzi na wasiokubaliana na maamuzi hayo. Hata hivyo wengi wao wamekuwa wakikubaliana na maamuzi hayo kishingo upande kwa kuogopa kufanyiwa fitna kwenye chama. Wapo wanaotegemea posho za kila siku bungeni kulipa mikopo na kugharamia miradi yao. Kundi hili halijawahi kukubaliana na maamuzi hata siku moja!
Je? ✓Chadema haioni inawanyanyasa wabunge hao ambao hawakubaliani na maamuzi hayo?
✓chadema hawaoni wanapswa kubadilisha approach hii kwa kuwa haijawahi kuzaa matunda na haijawahi kuwazuia wabunge wa ccm kuendelea na shughuli zao za kibunge?
✓ je, hawaoni ni muda mzuri kutumia muda huu kuwatetea wananchi wanaowawakilisha hasa kuhusu janga la corona kwa kutumia platform ya bunge?
✓je kwa kususia vikao vya bunge, mbunge wa ccm akifariki kwa corona watafurahi?
✓Ni kwann hata wasihudhurie wachache km wawakilishi kwa tahadhari kubwa hata wakienda wakiwa wamevaa PPE?
Mwisho: huu ni mwaka wa uchaguzi wananchi tukwepe aina hii ya wabunge wanaokimbia majukumu yao!
Tumewachoka , mtumishi anajionyesha hana mawazo ana uchochezi, bishana kwa hoja mzee
 
ndio maana kuna Ikulu mjomba , hamuwezi kusawazisha hilo jambo kamwe , huyo kakimbia DSM kwa kudhani katiliwa corona ofisini , ajitokeze aseme ukweli , nyie si mnajifanya mna ulinzi , sasa uoga wa kunguru imetoka wapi ?
Hilo Jambo linawasumbua nyinyi tu chadema linawaumiza moyo ila wananchi walio mchagua haliwashugulishi wamemchagua apige kazi na mh raisi hajawahi kuwaangusha anapiga kazi popote Kama unavyoona mwenyewe kamanda
 
Tatizo watu husahau, so Mara ya kwanza chadema kususia bungeni.Mwaka 2015 kuelekea uchaguzi Mkuu walisusia pia. Lakini walivyoenda kwenye uchaguzi wakashinda zaidi.
kwanza tuweke wazi , Chadema haijasusa bunge , bali inafuata mwongozo wa WHO wa kupambana na Corona
 
Hilo Jambo linawasumbua nyinyi tu chadema linawaumiza moyo ila wananchi walio mchagua haliwashugulishi wamemchagua apige kazi na mh raisi hajawahi kuwaangusha anapiga kazi popote Kama unavyoona mwenyewe kamanda
hivi Magufuli alishinda uchaguzi wa 2015 ?
 
Mbona "MWENYEKITI" wenu amesusia "OFISI ZAKE (Magogoni & Chamwino)" tokea mwezi March mpaka huu mwezi June, ila hamsemi. Au bado likizo ya "PASAKA" inaendelea kwake tu "ZE SPESHO WANI".

Yeye anaogopa "KORONA", kwasababu yeye ni binaadamu inaweza kumdhuru. Ila sisi raia anatuambia tusiogope, kwasababu sisi ni wanyama haiwezi kutudhuru. Acha upunguwani wewe.

Au ndio ile kauli yake ataihamisha "IKULU", ndio imetimia kwa kuihamishia Chatto. Basi kama vipi "BUNGE" na "WIZARA" zote zihamie "CHATTO" ili tujue moja tu.
Acha tu anatufanya sisi mapapai
 
Mbowe ni muhuni tu anawaswaga wabunge wa chadema Kama ng'ombe wake kwa maslahi yake binafsi sio kwa maslahi ya wapiga kura na ole wake mbunge akatae kupelekeshwa atajuta
Mm naamini kuna wabunge waliopendekeza njia mbadala lakin mawazo yao yakapuuzwa na kuitwa mamluki!
 
Back
Top Bottom