Suleiman hatibu
Member
- Dec 22, 2017
- 51
- 18
Mimi ni mkazi wa jimbo la kinondoni nakaa Kata ya tandale maeneo ya mtogole
Jana usiku maeneo haya ninapoishi mida ya saa tano mpaka saa sita usiku kulikuwa na kikao cha chadema kilichofanyika kwenye nyumba ya jirani yangu,mwanzoni sikujua kama ni kikao cha chadema,lakini leo jioni wakati natoka kwa job nilipomuuliza mshikaji wangu ambae ndio kwenye nyumba aliniambia kuwa ni kikao cha chama na wako kwenye mchakato wakujipanga kusimamisha mgombea jimbo la kinondoni
Wakati ananijibu hivyo, kichwani nikawa najiuliza maswali kadhaa!!
Chadema walisema hawatoshiriki uchaguzi mpaka wakae kikao na tume ya uchaguzi,je ! Kikao hicho kimeshakalika ?
Na kama kimekalika mbona mrejesho wake hatujaiona ama kuusikia ?
Jana usiku maeneo haya ninapoishi mida ya saa tano mpaka saa sita usiku kulikuwa na kikao cha chadema kilichofanyika kwenye nyumba ya jirani yangu,mwanzoni sikujua kama ni kikao cha chadema,lakini leo jioni wakati natoka kwa job nilipomuuliza mshikaji wangu ambae ndio kwenye nyumba aliniambia kuwa ni kikao cha chama na wako kwenye mchakato wakujipanga kusimamisha mgombea jimbo la kinondoni
Wakati ananijibu hivyo, kichwani nikawa najiuliza maswali kadhaa!!
Chadema walisema hawatoshiriki uchaguzi mpaka wakae kikao na tume ya uchaguzi,je ! Kikao hicho kimeshakalika ?
Na kama kimekalika mbona mrejesho wake hatujaiona ama kuusikia ?