muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Mgombea udiwani katika kata ya Endasak wilaya hanang bwana Hasimu kamunga aka Muna apewa nafasi kubwa ya kushinda. Mgombea huyo ambaye alikuwa diwani wa eneo kwa tiket ya CCM sasa amehamia CHADEMA na anagombea tena Udiwani.
Mgombea huyo aliyetuhuimiwa kumpigia kampeni mgombea wa Chadema ana nafasi kubwa yua ushindi hasa kwa kuwa anakubalika kwa pande zote mbil.
Nipo hapa endasak kwa muda na naona msafara wa kubwa unaomsindikiza mgombea huyu kwenda kuchukua fomu.
Naona pia Mh Mary Nagu akihaha kunusuru kiti hicho. Lakini duru la siasa linasema anatwanga maji kwnye kuni.
Mgombea huyo aliyetuhuimiwa kumpigia kampeni mgombea wa Chadema ana nafasi kubwa yua ushindi hasa kwa kuwa anakubalika kwa pande zote mbil.
Nipo hapa endasak kwa muda na naona msafara wa kubwa unaomsindikiza mgombea huyu kwenda kuchukua fomu.
Naona pia Mh Mary Nagu akihaha kunusuru kiti hicho. Lakini duru la siasa linasema anatwanga maji kwnye kuni.