Waziri wa nchi ofisi ya Rais Mahusiano Stephen Wassira amesema chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kitakumbwa na mgogoro mkubwa ndani ya kipindi kifupi kijacho.
Wassira amesema mgogoro huo ndio utakaopelekea kusambaratika vibaya chama hicho na kubaki historia hapa nchini.
Amesema mgogoro huo utahusiana na Uongozi na kuwaomba wananchi wavumilie kidogo ili washuhudie anachokisema.
Wassira amesema CDM ni chama cha hovyo na cha ajabu kilichojaa ubinafsi wa hali ya juu.
Amesema CDM kimekuwa kikipinga kila kinachofanywa na serikali ya CCM na kwao CDM hakuna zuri la CCM tangu uhuru wa Taifa hili.
Source: Majira Jumapili.
------------------------------------------------------------------------
UPDATES:
---------------
Wassira pia alimshambulia vikali Muasisi wa CDM Edwin Mtei kwamba aliianzisha CDM kama kampuni ya kifamilia na kwamba hata sasa CDM ni NGO ya Edwin Mtei.
Wassira amesema mgogoro huo ndio utakaopelekea kusambaratika vibaya chama hicho na kubaki historia hapa nchini.
Amesema mgogoro huo utahusiana na Uongozi na kuwaomba wananchi wavumilie kidogo ili washuhudie anachokisema.
Wassira amesema CDM ni chama cha hovyo na cha ajabu kilichojaa ubinafsi wa hali ya juu.
Amesema CDM kimekuwa kikipinga kila kinachofanywa na serikali ya CCM na kwao CDM hakuna zuri la CCM tangu uhuru wa Taifa hili.
Source: Majira Jumapili.
------------------------------------------------------------------------
UPDATES:
---------------
Wassira pia alimshambulia vikali Muasisi wa CDM Edwin Mtei kwamba aliianzisha CDM kama kampuni ya kifamilia na kwamba hata sasa CDM ni NGO ya Edwin Mtei.