Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,073
Kumekucha ! Taarifa za chinichini zinadokeza kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinautafakari ushauri wa magwiji wa siasa nchini wa kurusha moja kwa moja mikutano yake ya kampeni za udiwani nchi nzima , hasa mikutano inayohutubiwa na viongozi wa kitaifa .
Ushauri huu umeletwa baada ya viongozi wakuu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa chama , Mh Freeman Mbowe kufungua kampeni kali sana kwenye kata ya Saranga Jimbo la Ubungo , Taarifa za magwiji wa siasa zinatanabaisha kwamba maneno mazito yaliyosemwa na Mh Mbowe kwenye mkutano huo wa kampeni , si ya hadhi ya Kata wala jimbo , ni hotuba kali iliyojaa ukweli mtupu yenye hadhi ya KITAIFA , taarifa zinasema hotuba kali kama ile kuishia Kimara pekee ni sawa na kuwanyima haki ya kupata taarifa Watanzania wengine nchi nzima .
Ni matumaini yangu ushauri wa magwiji wa siasa utafanyiwa kazi haraka .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Nakala kwa Molemo na Mwanahabari Huru .
Ushauri huu umeletwa baada ya viongozi wakuu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa chama , Mh Freeman Mbowe kufungua kampeni kali sana kwenye kata ya Saranga Jimbo la Ubungo , Taarifa za magwiji wa siasa zinatanabaisha kwamba maneno mazito yaliyosemwa na Mh Mbowe kwenye mkutano huo wa kampeni , si ya hadhi ya Kata wala jimbo , ni hotuba kali iliyojaa ukweli mtupu yenye hadhi ya KITAIFA , taarifa zinasema hotuba kali kama ile kuishia Kimara pekee ni sawa na kuwanyima haki ya kupata taarifa Watanzania wengine nchi nzima .
Ni matumaini yangu ushauri wa magwiji wa siasa utafanyiwa kazi haraka .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Nakala kwa Molemo na Mwanahabari Huru .