Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,918
- 122,180
Miss you cocoBasi tu nawe uendelee kuishi uringie kuwa ulinitag..
Miss you cocoBasi tu nawe uendelee kuishi uringie kuwa ulinitag..
Naona mna jaribu kumhusisha Mungu na mambo ya kijinga kabisa.Kwani wewe ndiyo unamiliki baraka za Mungu? Au kwa kuwa ni malaika wa mungu wenu basi unadhani mnavyozuia mikutano ya CHADEMA ndiyo mtaweza pia kuzuia na baraka kwa CHADEMA toka kwa Mungu aliye hai?
Hahahaaaaaa!We are still waiting for kamanda barafuyamoto to join us.
Mimi siongeiKwahiyo Chadema mmekuwa wa level ya " KATA" kweli?!!!...... Nimeamini CCM inatisha!!
Nilikuwa workshop hata nafasi ya kuingia JF ilikosekana si unajua Hapa Kazi TuUlaya gani hiyo isiyo na mtandao wa Internet!?
Ndio Mkuu.Basi tu nawe uendelee kuishi uringie kuwa ulinitag..
Kweli ndugu yangu, hata yule mshauri wa wanunuzi naye amedai anakosa muda wa kufuatilia mambo ya mitandaoni!Nilikuwa workshop hata nafasi ya kuingia JF ilikosekana si unajua Hapa Kazi Tu
Usinihusishe kwenye mambo ya kijinga!!Naona mna jaribu kumhusisha Mungu na mambo ya kijinga kabisa.
#naenda_zimbabwe
Ulaya usiyopata habari za kinachoendelea dunianiiii?!!! Labda ile ya BC siyo AD. Danganya malofa wenzako.Hivi kesi imeisha mkuu?? Sina taarifa nilikuwa Ulaya kikazi....!! Nipe taarifa mkuu!
Sawa waje Azam tv walipie. Au la warushe kwa Youtube na media zingine ndogondogo, tuna uhakika kuwa vijijini wataona
Umempa za uso !Ulaya usiyopata habari za kinachoendelea dunianiiii?!!! Labda ile ya BC siyo AD. Danganya malofa wenzako.