Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,135
- 20,764
Dah, wewe ndo mwendawazimu, Nyalandu na Msando wapi na wapi?Ha ha ha ha mara hii Nyalandu ameshakuwa Kamanda! Sio mshika makalio ya wanawake tena!!? Ama kweli kuwakubali machadema lazima uwe na moyo kama wa mwendawazimu!!