Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
Katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Kinondoni, Chadema kupitia kada wao Wenje, imewadhalilisha sana mama zetu na dada zetu hasa wale wabunge wa kike kwamba wao si cho chote bali ni ma 'sweety tu'.
Kama chadema haitatoa tamko la kukanusha kile alichosema Wenje kwamba si msimamo wa chama bali ni msimao wake binafsi: basi wategemee adhabu kali kutoka kwa akina mama wa Tanzania kwa udhalilishaji huu mkubwa na ubaguzi wa kijinsia, ikiwa ni pamoja na kunyimwa kura za wanawake wote katika uchaguzi huu na chaguzi zijazo.
Kama chadema haitatoa tamko la kukanusha kile alichosema Wenje kwamba si msimamo wa chama bali ni msimao wake binafsi: basi wategemee adhabu kali kutoka kwa akina mama wa Tanzania kwa udhalilishaji huu mkubwa na ubaguzi wa kijinsia, ikiwa ni pamoja na kunyimwa kura za wanawake wote katika uchaguzi huu na chaguzi zijazo.