CHADEMA kupeleka taarifa za gharama za Uchaguzi kwa Msajili kesho

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,490
54,884
Taarifa ya gharama za uchaguzi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, iko tayari. Japo Muda wa vyama vya siasa kuwasilisha taarifa hizo kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwa mujibu wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi, haujaisha.

Naomba kuwataarifu kuwa taarifa ya CHADEMA itawasilishwa kesho Juni 25, ofisini kwa Msajili.

Asante.

Makene
 
mlikuwa mnatengeneza tickets fake za perdiem au mlikuwa mnafanya nin mpaka leo hamjapeleka mahesabu
 
Katibu anafanya nini naibu katibu je ,wanashindwa kuanda financial report
 
Mbowe siku hizi kawa mstaarabu sana zile lugha za ukali na Mikwala dhidi ya Mdemokrasia Jakaya Kikwete sizisikii tena leo kaongea kwa upole kabisa utadhan sio yule wa kutishia Mkuu wa Nchi
 
Back
Top Bottom