CHADEMA kuongeza nguvu Igunga

Idimulwa

JF-Expert Member
May 27, 2011
4,503
1,722
Nipo kituo kimoja cha kujaza mafuta hapa mitaa ya Kirumba jijini Mwanza namuona kamanda Wenje na mwenzie Highness wakiijaza mafuta kwenye gari lao. Nimewadadisi wakaniambia kuwa kazi ndio inaanza wanaelekea Igunga wakiwa na mabom maalumu ya kuisambaratisha kabisa CCM pia wamenijuza kuwa makamanda Halima Mdee, Zitto na Lema akiwa ame ambatana na Selasin wako njiani vilevile.
 
Yote yatafanyika lakini kazi badi ipo kwani hawa majambazi wameanza vituko mara huyu ndani etc etc
 
Yangu macho kwakweli, Chadema mna kazi ya kuomba kura na kazi kubwa zaidi ni kulinda kura. CCM haitang'oka kirahisi mpaka tukipata katiba mpya. Sitaki kuamini mpaka kesho eti Kikwete alishinda uchaguzi ule, ni mtanzania gani sasahivi anaweza kufanya maamuzi ya hivyo? Tupiganie katiba mpya. CCM imekwisha jifia kwasasa inaokolewa na POLISI na TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI.
 
Kwa sisi tulioshiriki hatua zote uchaguzi mkuu tangu mwanzo hadi mwisho kwenye kuhesabu kura, hofu yangu igunga siyo kushinda uchaguzi bali kutangazwa. Unaweza kushinda lakini usitangazwe. Hapa tunahitaji nguvu, mikakati na neema ya Mungu pia.
 
Yangu macho kwakweli, Chadema mna kazi ya kuomba kura na kazi kubwa zaidi ni kulinda kura. CCM haitang'oka kirahisi mpaka tukipata katiba mpya. Sitaki kuamini mpaka kesho eti Kikwete alishinda uchaguzi ule, ni mtanzania gani sasahivi anaweza kufanya maamuzi ya hivyo? Tupiganie katiba mpya. CCM imekwisha jifia kwasasa inaokolewa na POLISI na TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI.

avatar18075_10.gif
 
nipo kituo kimoja cha kujaza mafuta hapa mitaa ya kirumba jijini mwanza namuona kamanda wenje na mwenzie highness wakiijaza mafuta kwenye gari lao. Nimewadadisi wakaniambia kuwa kazi ndio inaanza wanaelekea igunga wakiwa na mabom maalumu ya kuisambaratisha kabisa ccm pia wamenijuza kuwa makamanda halima mdee, zitto na lema akiwa ame ambatana na selasin wako njiani vilevile.

wakaongeze tulikomboe jimbo la igunga
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hii tutaita Twanga Kotekoteeeeeee!!
<br />
<br />


Mkuu hii ni mpaka kieleweke. Yaani Kashindye Ashinde. Sasahv hakuna anayeweza kuzima moto wa cdm. Labda wawatishe na polisi watu waogope kwenda kupiga kura!
 
KWENYE DURU ZA KIASA TUNASEMA HIVI, NI BORA KUWA NA KATIBA MBOVU YENYE WASIMAMIZI WAZURI KULIKO KUWA NA KATIBA NZURI YENYE WASIMAMIZI WABOVU'' KALI YA MWAKA KWA HAPA TANZANIA, KATIBA MBOVU NA WASIMAMIZI WABOVU, (-) + (-)=() kaTiba mpya na nzuri inahitajika lakini hicho si kikwazo cha kutoingoa ssm madarakani, NGUVU YA UMMA TU UNAWEZA KUFANYA HAYO YOTE!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom