figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Chama cha demokrasia na maendeleo, kitaongea na waandishi wa habari leo saa sita mchana makao makuu ya chama.
Waandishi wameombwa kufika bila kukosa.
My Take:
Ni aibu kwa chama kikubwa kama chadema kuruhusu CCM wapite bila kupingwa hata Dar penye ngome yao. Je, Mubenea, Lowassa, Sumaye, Mahanga na wengine wengi, walikuwa wanafanya nini wasisimamie hili?
Waandishi wameombwa kufika bila kukosa.
My Take:
Ni aibu kwa chama kikubwa kama chadema kuruhusu CCM wapite bila kupingwa hata Dar penye ngome yao. Je, Mubenea, Lowassa, Sumaye, Mahanga na wengine wengi, walikuwa wanafanya nini wasisimamie hili?