CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

TAARIFA KWA UMMA

Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .

Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Hawa jamaa wamekua kama tbc tu - poor content

kina haja ya kuifumua chadema na kuisuka upya kabisa

sasa hivi hata mission statement yao haijulikani
 
TAARIFA KWA UMMA

Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .

Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Saa zinakwenda.
 
Nasikia za chini chini / tetesi zinasema kuwa huenda leo CHADEMA wakabadilika ghafla na kuanza kumuunga Mkono aliyekuwa Adui yao Mkuu Ole Sabaya hasa kutokana na Utetezi wake murua wa Jana na kuamua kuachana na Mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe na kwamba ajibebe tu Mwenyewe kwani wameshachoka na Kesi zake na nenda rudi.

Kama hii itakuwa ni kweli basi hata Mimi nisiyeshabikia Chama chochote kile cha Siasa nchini Tanzania nitaanza rasmi kuwa Shabiki na hata kuomba Uanachama wa CHADEMA kwakuwa nitaona kuwa sasa wameanza Kujitambua.
Acha hizo anti wewe ni mpenzi na mwanachama wa MATAGA.
 
CDM hizi press za kila siku zinawapotezea mvuto, siyo kila jambo lazima muite press, mengine muwe mnatoa tu barua kama afanyavyo yule bwana Shaka! Nimefuatilia Press yenu leo, mezani kulikuwa na microphones 4 tu za Bona TV, SautiKuu, Bongo(something) na nyingine hata haieleweki jina!! Kuna kipindi CDM walikuwa wakiita Press hadi international medias zinakuwepo, lakini leo hii Bona TV ndiyo wanapewa dimba la kati!!! And kwa nini kila mnapofanya press muuliza maswali anakuwa jamaa wa DarMpya TV pekee?
 
Nasikia za chini chini / tetesi zinasema kuwa huenda leo CHADEMA wakabadilika ghafla na kuanza kumuunga Mkono aliyekuwa Adui yao Mkuu Ole Sabaya hasa kutokana na Utetezi wake murua wa Jana na kuamua kuachana na Mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe na kwamba ajibebe tu Mwenyewe kwani wameshachoka na Kesi zake na nenda rudi.

Kama hii itakuwa ni kweli basi hata Mimi nisiyeshabikia Chama chochote kile cha Siasa nchini Tanzania nitaanza rasmi kuwa Shabiki na hata kuomba Uanachama wa CHADEMA kwakuwa nitaona kuwa sasa wameanza Kujitambua.
Kwa ukurupwaji sitoshangaa
Hizi Press Conference zinaboa
Tumieni mitandao kufikisha ujumbe hii corona hamuioni mbona wagumu kuchambua mambo?!
 
Kwa ukurupwaji sitoshangaa
Hizi Press Conference zinaboa
Tumieni mitandao kufikisha ujumbe hii corona hamuioni mbona wagumu kuchambua mambo?!
Aliyekuambia Mimi ni mwana CHADEMA nani Ndugu? Sishabikii Chama chochote kile Tanzania hii japo kwa mbali naanza Kuvutiwa na Chama cha MCC.
 
CDM hizi press za kila siku zinawapotezea mvuto, siyo kila jambo lazima muite press, mengine muwe mnatoa tu barua kama afanyavyo yule bwana Shaka! Nimefuatilia Press yenu leo, mezani kulikuwa na microphones 4 tu za Bona TV, SautiKuu, Bongo(something) na nyingine hata haieleweki jina!! Kuna kipindi CDM walikuwa wakiita Press hadi international medias zinakuwepo, lakini leo hii Bona TV ndiyo wanapewa dimba la kati!!! And kwa nini kila mnapofanya press muuliza maswali anakuwa jamaa wa DarMpya TV pekee?

..nyinyi mnajali zaidi " optics " badala ya kilichozungumzwa kwenye mkutano.

..waandishi wetu wengi hawana courage ya kuuliza maswali na hali hiyo inajitokeza kwenye mikutano mingi ya waandishi wa habari.
 
..nyinyi mnajali zaidi " optics " badala ya kilichozungumzwa kwenye mkutano.

..waandishi wetu wengi hawana courage ya kuuliza maswali na hali hiyo inajitokeza kwenye mikutano mingi ya waandishi wa habari.
Mzee tatizo siyo optics, unapofanya press unataka yale uliyozungumza yawafikie watu, ndiyo maana hata vyombo vya habari vina sensa ya viewers! Sasa ni wangapi wanaangalia hiyo Bona TV? Si ni bora kuandika na kusambaza kwenye medias nyingi iwezekanavyo?
Sasa kama wakiuliza wanaitwa njaa courage hiyo wataitoa wapi?
 
Kwa ukurupwaji sitoshangaa
Hizi Press Conference zinaboa
Tumieni mitandao kufikisha ujumbe hii corona hamuioni mbona wagumu kuchambua mambo?!
Kumbuka kuna mbio za Mwenge maelfu ya watu wanakusanyika na kukesha wengine wakilana mbususu kwa kasi ya 5G.
Mbona hukemei mikusanyiko ya mbio za Mwenge anti..!??
 
Kwa wenye ufinyu wa akili tu. Wapenda udaku wa habari ambazo hazina tija kwa Taifa.
Sawa Wazee wa 'Tija' kwa Taifa a.k.a Chama kilichoongoza 'kuunga mkono' juhudi

Chama ambacho walioaminiwa kugombea Urais 2010 na 2015 wamesaliti Chama na kurudi Ccm

Chama ambacho waliowahi kuwa Makatibu Wakuu wa TATU chama wakarudi CCM haijawaho tokea Dunia nzima
 
D63B8940-23C7-49E9-AAAE-7B6AD455666B.jpeg

Sawa Wazee wa 'Tija' kwa Taifa a.k.a Chama kilichoongoza 'kuunga mkono' juhudi


Chama ambacho walioaminiwa kugombea Urais 2010 na 2015 wamesaliti Chama na kurudi Ccm

Chama ambacho waliowahi kuwa Makatibu Wakuu wa TATU chama wakarudi CCM haijawaho tokea Dunia nzima
 
Back
Top Bottom