CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,600
217,997
TAARIFA KWA UMMA

Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .

Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
 
Asante kwa taarifa mleta mada.

Ila, Ni muhimu kuwa na mpangilio unaoeleweka kwenye hizi 'press conference' za chama.
Juzi kati aliongea Mnyika, leo tena nyingine sasa ile ya JJ haikuwa ya chama?
 
Mbowe sio Gaidi, CCM ni Magaidi ndio maana wawekezaji wanakimbia

IMG_20210811_164651.jpg


IMG_20210812_123915.jpg
 
View attachment 1891750

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Nasikia za chini chini / tetesi zinasema kuwa huenda leo CHADEMA wakabadilika ghafla na kuanza kumuunga Mkono aliyekuwa Adui yao Mkuu Ole Sabaya hasa kutokana na Utetezi wake murua wa Jana na kuamua kuachana na Mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe na kwamba ajibebe tu Mwenyewe kwani wameshachoka na Kesi zake na nenda rudi.

Kama hii itakuwa ni kweli basi hata Mimi nisiyeshabikia Chama chochote kile cha Siasa nchini Tanzania nitaanza rasmi kuwa Shabiki na hata kuomba Uanachama wa CHADEMA kwakuwa nitaona kuwa sasa wameanza Kujitambua.
 
TAARIFA KWA UMMA

Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .

Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona

Hawa wanataka kutupa namba ya kuchangia michango
Kuwasaidia mawakili na nauli ya lisu
 
Nasikia za chini chini / tetesi zinasema kuwa huenda leo CHADEMA wakabadilika ghafla na kuanza kumuunga Mkono aliyekuwa Adui yao Mkuu Ole Sabaya hasa kutokana na Utetezi wake murua wa Jana na kuamua kuachana na Mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe na kwamba ajibebe tu Mwenyewe kwani wameshachoka na Kesi zake na nenda rudi.

Kama hii itakuwa ni kweli basi hata Mimi nisiyeshabikia Chama chochote kile cha Siasa nchini Tanzania nitaanza rasmi kuwa Shabiki na hata kuomba Uanachama wa CHADEMA kwakuwa nitaona kuwa sasa wameanza Kujitambua.
stupid
 
Tuondoleeni ujinga wenyu hapa nyie cdm. Tanzania ni nchi huru hatuongozwi na serikali ya dunia hii ya mpango wa mpinga Kristo yaani 'UN na Wizara yake ya Afya -WHO.
 
Back
Top Bottom