Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 4,838
- 8,673
Write your reply...huyu mbowe hana jipya, anazurura tu kama mwehu
zako jiwe kalala nazo kuzimuMakamanda uchwara, watapata wapi akili wakati mwenyekiti wao kazibeba.
Jiwe kafa kwani mmeambiwa kauwiawa na Mbowe?Write your reply...huyu mbowe hana jipya, anazurura tu kama mwehu
Hakika mana mimba aliyokuachia haijapata mlezi bado!Kishindo cha awamu ya 5 chaliiiiii Kafa kaoza .
Kalifufue
Basi tafuta zile za kurejea unazopenda kuzisikia badala yake.Sitasikiliza
SAFI KABISA NITAKAA SITI YA MBELE KUSIKILIZA MREJESHO WA MAPATO NA MATUMIZI WA SADAKA ZETU TULIZOCHANGISHWA KIPINDI KILE CHA KAMPENI.Taarifa ya ghafla iliyosambazwa na Chama hicho inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika saa 7 kamili mchana wa leo , kwenye makao makuu ya Chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam , Kinondoni , Mtaa wa Ufipa .
Waandishi mtakaohudhuria mnaombwa kufuata muongozo wa WHO wa kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona .
Wote mnakaribishwa .
View attachment 1816085
Hahhaha kalifufueni kafir lileHakika mana mimba aliyokuachia haijapata mlezi bado!
Leta mrejesho wa pressAsante kwa taarifa
Tunapaswa kukaa mkao wa kula, ili tumsikilize mwamba Mbowe, akishusha nondo zake
Ntaenda dadaangu ili mimba hiyo ipate mleziHahhaha kalifufueni kafir lile
Mimba ile ya bimkubwa wako ama wamanisha nnNtaenda dadaangu ili mimba hiyo ipate mlezi
Usipanic dada,!Mimba ile ya bimkubwa wako ama wamanisha nn
Kishaongea sana alipokuwa mwanza, Tabora, dodoma, moro, kipi kipya tena? Ila nyie makamanda hamnaga akili
... huu mkutano ulifutwa? This is wrong kutoa ahadi za uongo! Haifai kwa chama kikubwa kama Chadema; mnakosea sana.Taarifa ya ghafla iliyosambazwa na Chama hicho inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika saa 7 kamili mchana wa leo , kwenye makao makuu ya Chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam , Kinondoni , Mtaa wa Ufipa .
Waandishi mtakaohudhuria mnaombwa kufuata muongozo wa WHO wa kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona .
Wote mnakaribishwa .
View attachment 1816085
SAA saba mchana bado? Mbona hatupati mrishonyuma?Taarifa ya ghafla iliyosambazwa na Chama hicho inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika saa 7 kamili mchana wa leo , kwenye makao makuu ya Chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam , Kinondoni , Mtaa wa Ufipa .
Waandishi mtakaohudhuria mnaombwa kufuata muongozo wa WHO wa kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona .
Wote mnakaribishwa .
View attachment 1816085