Ugua ulazwe Muhimbili uone kama hautaletewa chai ya maziwa, mtori na chapati kwa mchuzi wa jogoo. Ila nduguzo utawatia umasikini.
Daah kumbe yote yalikuwa mepesi isipokuwa kuitwa ushuzi? basi we ushuzi acha ujinga!!Ushuzi mtupu.
Uchizi hata kipindi cha masika utazidi kukusumbua.Mbowe anavuta mkwanja mwingine hapo kilainii baada ya kutoka selo.
Hakuna atakayekuuliza kwa nini hukuchangia kama huoni gaida ya jitihada za TL. Ungekaa tu kimya! Mimi siyo tajiri lakini nitamchangia TL laki 1 kila mwezi maana najua sauti yake inaokoa wengi, tunaowajua na tusiowajua.Mimi sitoi hela yangu kuwachangia matajiri hata siku Moja.kila mtu aubebe msalaba wake mwenyewe
tairi bovu.huna ujualo unaishia kutukana tuuu. umebaki kama mshipa mbele haupo nyuma haupo
Upuuzi mtupu.Daah kumbe yote yalikuwa mepesi isipokuwa kuitwa ushuzi? basi we ushuzi acha ujinga!!