state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Kumekuwawa na harakati za kutaka kufifisha maono ya RC wa dar kwa kile wanachokiita tulisha omba
Alianza mayor wa ubungo kusema eti pesa za hospital zilisha ombwa ,akaja Mbunge mtoro jimboni JJ mnyika akasema pesa hiyo ilisha ombwa hivi karibuni ameibuka mdee anasema pesa aliyoomba makonda alisha imba yeye
Nataka kuwakumbusha kuwa jambo linaweza kuombwa mara nyingi na bado likawa lilelile tu wananchi wanachohiyaji ni kuona project imekamilika bila kujari nani kaiomba au kaisimamia
Sina uhakika kwamba kwa sasa chadema imesha toa /ilisha toa kauli ya kukubali serkali ya awamu ya tano kuwa ni legitimacy government tangu waliposema hawaitambui na kukimbia bungeni rais alipohutubia bunge hadi leo wanaiomba miradi mnaomba serkali msiyo itambua (huu oungo)
Mtubu mapema mshirikiane kwa amani
State agent
Alianza mayor wa ubungo kusema eti pesa za hospital zilisha ombwa ,akaja Mbunge mtoro jimboni JJ mnyika akasema pesa hiyo ilisha ombwa hivi karibuni ameibuka mdee anasema pesa aliyoomba makonda alisha imba yeye
Nataka kuwakumbusha kuwa jambo linaweza kuombwa mara nyingi na bado likawa lilelile tu wananchi wanachohiyaji ni kuona project imekamilika bila kujari nani kaiomba au kaisimamia
Sina uhakika kwamba kwa sasa chadema imesha toa /ilisha toa kauli ya kukubali serkali ya awamu ya tano kuwa ni legitimacy government tangu waliposema hawaitambui na kukimbia bungeni rais alipohutubia bunge hadi leo wanaiomba miradi mnaomba serkali msiyo itambua (huu oungo)
Mtubu mapema mshirikiane kwa amani
State agent